Foot Swahili

Foot Swahili Foot Swahili ni page inayokuletea habari za soka ulimwenguni bila kubagua โšฝ๏ธ ๐Ÿ€

๐Ÿšจ๐Ÿ†• Marc Cucurella kuhusu uhamisho wake ulioshindwa kwenda Manchester City mwaka 2022:"Walikuwa na moto, moja ya timu bor...
12/02/2025

๐Ÿšจ๐Ÿ†• Marc Cucurella kuhusu uhamisho wake ulioshindwa kwenda Manchester City mwaka 2022:

"Walikuwa na moto, moja ya timu bora zaidi duniani. Nilitaka sana kwenda. Wanapokuja wakipiga simu k**a walivyofanya, Guardiola anapokuuliza, ungepiga magoti ikiwa ungelazimika kufanya hivyo.

Lakini vilabu havikuweza kufikia makubaliano. Brighton ilikuwa na madai makubwa, na haikuwezekana."

[kupitia Informe Plus ]

Admin mkuu Benjamin Abisemba

๐Ÿ’ฃ| BREAKING NEWS ๐Ÿ—ž๏ธ : Zidane ndiye chaguo pekee la Real Madrid ikiwa klabu itapendelea kubadilisha kocha katikati ya msi...
12/02/2025

๐Ÿ’ฃ| BREAKING NEWS ๐Ÿ—ž๏ธ :

Zidane ndiye chaguo pekee la Real Madrid ikiwa klabu itapendelea kubadilisha kocha katikati ya msimu.

โœ…๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท

Admin mkuu Benjamin Abisemba

Breaking news ๐Ÿ—ž๏ธ ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡จ Arsenal wamefikia makubaliano na Independiente Del Valle (klabu ambayo Hincapiรฉ, Caicedo, na Pacho w...
12/02/2025

Breaking news ๐Ÿ—ž๏ธ

๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡จ Arsenal wamefikia makubaliano na Independiente Del Valle (klabu ambayo Hincapiรฉ, Caicedo, na Pacho wametokea) kwa ajili ya kusaini mapacha Edwin na Holger Quintero wenye umri wa miaka 16.

Mkataba huo utaanza mwaka 2027, katika siku yao ya kuzaliwa ya 18.

Chanzo :

Admin mkuu Benjamin Abisemba

10/08/2023

Jude Bellingham ๐Ÿ’ช๐Ÿ†

07/17/2023

Jumamosi July/22/2023

Match :
FFU vs Ujanja FC

๐Ÿ’ฌ โ€œNini kinamtokea Mwamnyeto? Sifahamu. Ninachojua anapitia wakati mgumu. Hachezi vizuri. Ana makosa mengi. Ukabaji wake...
09/26/2022

๐Ÿ’ฌ โ€œNini kinamtokea Mwamnyeto? Sifahamu. Ninachojua anapitia wakati mgumu. Hachezi vizuri. Ana makosa mengi. Ukabaji wake pia ni duni. Haishangazi kuona Kocha Nabi kwa sasa analazimika kumrudisha Bangala kucheza sambamba na Job katika nafasi ya beki ya kati.โ€

- Edo Kumwembe.

Admin mkuu Benjamin Abisemba

Kocha Nabi ashtushwa kufungiwa Morrisonโ€œNilipata hizo taarifa zilinikuta nikiwa mezani na familia, ziliniumiza sana, kwa...
09/26/2022

Kocha Nabi ashtushwa kufungiwa Morrison

โ€œNilipata hizo taarifa zilinikuta nikiwa mezani na familia, ziliniumiza sana, kwa mechi zilizo mbele yetu Kocha yoyote angependa kuwa na wachezaji wake wote. Kuna kitu ambacho huwa Kinanishtua sana naona k**a timu yangu inaandamwa sanaโ€๐Ÿ˜ฌ

Admin mkuu Benjamin Abisemba

 Uwanja wa klabu ya Atletico umebadilishwa jina lake na kuitwa sasa CIVITAS METROPOLITANO badala ya Wanda Metropolitano....
07/22/2022



Uwanja wa klabu ya Atletico umebadilishwa jina lake na kuitwa sasa CIVITAS METROPOLITANO badala ya Wanda Metropolitano.๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ

Admin mkuu Benjamin Abisemba

"Wakati Nchi yetu inataka kurudisha mchakato wa katiba mpya, nadhani hata pale (TFF) nako tutafute katiba mpya""Mamlaka ...
07/22/2022

"Wakati Nchi yetu inataka kurudisha mchakato wa katiba mpya, nadhani hata pale (TFF) nako tutafute katiba mpya"

"Mamlaka ya (TFF) hayapaswi kuvuka mipaka ya Nchi. Mnamfungia hadi nje ya Nchi kwa sheria ipi ?"

"Mara mama kamteua (Manara) kuwa Mbunge, mara mama kamteua tena kuwa Waziri wa michezo !"

"Kifungo cha miaka miwili na faini ya Tsh 20 Milioni, ni adhabu iliyojaa chuki na kukomoana"

"Kuanzia aliponyimwa tuzo ya mhamasishaji bora, inakupa picha ya moja kwa moja juu ya chuki ya watawala wa mpira wetu dhidi yake"

-Mchambuzi wa soka,Oscar Oscar Jnr

Admin mkuu Benjamin Abisemba

 Kiungo wa klabu ya Simba Sc ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Pape Ousmane Sakho ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ ameshinda tuzo ya goli bora la CAF.Goli hilo alifunga dhidi ya Ase...
07/22/2022



Kiungo wa klabu ya Simba Sc ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Pape Ousmane Sakho ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ ameshinda tuzo ya goli bora la CAF.

Goli hilo alifunga dhidi ya Asec Mimosas katika mchezo wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho barani Afrika.

Admin mkuu Benjamin Abisemba

 Sadio Mane ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2022 wa bara la Afrika katika tuzo za CAF.โœ… Hii ni mara yake ya ...
07/22/2022



Sadio Mane ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2022 wa bara la Afrika katika tuzo za CAF.

โœ… Hii ni mara yake ya pili mfululizo kutwaa tuzo hiyo.

Admin mkuu Benjamin Abisemba

 Kamati ya Maadili ya Shirikisho la soka Tanzania (TFF) leo imetoa maamuzi kuhusiana na sekretarieti kufungua kesi katik...
07/22/2022



Kamati ya Maadili ya Shirikisho la soka Tanzania (TFF) leo imetoa maamuzi kuhusiana na sekretarieti kufungua kesi katika k**ati hiyo dhidi ya afisa habari wa Yanga Haji Manara.

Kamati ya maadili ya TFF imemkuta na hatia Haji Manara na kumfungia miaka miwili kutojihusisha na soka ndani na nje ya nchi na faini ya Tsh milioni 20 kwa makosa ya kumvunjia heshima Rais wa TFF Wallace Karia

Haji Manara alipishana kauli ya Rais wa Shirikisho la soka Tanzania (TFF) Wallace Karia katika eneo la VVIP wakati wa mchezo wa fainali ya Kombe la ASFC kati ya Yanga dhidi ya Coastal Union.

Admin mkuu Benjamin Abisemba

Address

Kansas City, MO
64124

Opening Hours

Monday 6am - 6pm
Tuesday 6am - 6pm
Wednesday 6am - 6pm
Thursday 6am - 6pm
Friday 7am - 5pm
Saturday 7am - 12pm

Telephone

+255768729090

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Foot Swahili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Foot Swahili:

Share