16/10/2025
Baada ya kupata habari kua kivuko cha Pangani kimeharibika, Mwenyekiti wa Chama cha mpira wa miguu Mkoa kuthibitisha hili mchezo kati ya BEACH BOYS VS AMAZON umehairishwa mpaka Itakapotolewa taarifa nyingine.
next..
AMAZON v/s MZINGANI
Tarehe : 20/10/2025
Uwanja wa Ibadan Mwakidila.