06/01/2026
π BREAKING NEWS
Ruben Dias atakuwa nje kwa wiki 6 baada ya kupata jeraha la hamstring kwenye mchezo dhidi ya Chelsea. Jeraha hili linamfanya kuwa mchezaji mwingine wa Manchester City anayekosa michezo kadhaa, huku Josko Gvardiol pia akiwa nje kwa muda mrefu baada ya kupata jeraha la shinbone
Pep Guardiola, kocha wa Manchester City, amesema kuwa Dias atarudi baada ya wiki 4-6, lakini watachukua tahadhari ili kuhakikisha anapona vizuri