Naipenda Namungo fc

Naipenda Namungo fc Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Naipenda Namungo fc, Sport & recreation, Namakonde, Ruangwa.




Naipenda mungo fc is the page created for fans with depth love for namungo fc who can sacrifice physically socially and economically or an asset to support his/her team.

Kamata gazeti lako la nipashe hii Leo 30/03/2020 uisome taarfa hii ya lusajo kwa kina kuhusu tetesi za lusajo na yanga
30/03/2020

Kamata gazeti lako la nipashe hii Leo 30/03/2020 uisome taarfa hii ya lusajo kwa kina kuhusu tetesi za lusajo na yanga

Jipatie jez za Namungo Fc kwa bei nafuu (15000)unapata juu na chini mawasiliano0716108820    πŸ‘Š
30/03/2020

Jipatie jez za Namungo Fc kwa bei nafuu (15000)unapata juu na chini mawasiliano0716108820
πŸ‘Š

News update-Namungo fc inaweza kua tishio msimu ujao endapo haitawauza baadhi ya wachezaji wao pia wachezaji endapo wata...
30/03/2020

News update
-Namungo fc inaweza kua tishio msimu ujao endapo haitawauza baadhi ya wachezaji wao pia wachezaji endapo watahitaji changamoto mpya Basi itakua pengo kubwa Sana kwa Namungo fc na huenda Yale yaliyotokea kwa Mbeya city,Singida Utd na Mbao fc.

-Bigilimana, Kikoti, Nzigamasabo, kwenye picha pamoja na Lusajo ambaye hayupo pichani ni watu hatari sana Namungo wanapaswa kuhakikisha wanaendelea kuwepo kikosini mcmu ujao.

  UONGOZI WA NAMUNGO FC WAVUNJA KAMBI KWA SIKU KADHAA.Kufuatia Mlipuko wa Ugonjwa wa COVID 19 unaoenezwa na virusi vya C...
19/03/2020


UONGOZI WA NAMUNGO FC WAVUNJA KAMBI KWA SIKU KADHAA.
Kufuatia Mlipuko wa Ugonjwa wa COVID 19 unaoenezwa na virusi vya Corona, Serikali kupitia Waziri Mkuu imetangaza kusimamisha Ligi zote nchini kwa muda wa siku 30 ili kuepusha kuenea kwa ugonjwa huo.
Klabu ya Namungo FC imevunja kambi na kuwaruhusu Wachezaji kuondoka kwa siku kadhaa ili kuepusha misongamano ikiwa ni tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona.
Hali ikitengemaa watarudi k**a kawaida kwenye majukumu yao.
Mungu wasaidie wachezaji wetu warudi wakiwa na afya njema na salama aminaπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

17/03/2020
Typing errors guys πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ Namungo fc baba lao
15/03/2020

Typing errors guys πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
Namungo fc baba lao

Msimamo baada ya michezo ya leo namungo fc dhidi ya yanga sc na kmc dhidi ya alliance school.
15/03/2020

Msimamo baada ya michezo ya leo namungo fc dhidi ya yanga sc na kmc dhidi ya alliance school.

Leo 🐸🐸🐸 kazi wanayo , Tukutane Majaliwa stadium kwa mtonyo wa 5000 tu unapenya mlangoni.
15/03/2020

Leo 🐸🐸🐸 kazi wanayo ,
Tukutane Majaliwa stadium kwa mtonyo wa 5000 tu unapenya mlangoni.

Hivi ni leo vile πŸΈπŸΈπŸΈπŸΈπŸ™ˆπŸ™ˆ Tukutane Majaliwa stadium  kiingilio ni 5000 tu mlangoni unasubiri nini mwana namungo wakati ndi...
15/03/2020

Hivi ni leo vile πŸΈπŸΈπŸΈπŸΈπŸ™ˆπŸ™ˆ
Tukutane Majaliwa stadium kiingilio ni 5000 tu mlangoni unasubiri nini mwana namungo wakati ndio huu

 πŸ‘£πŸ‘£Ni  juma pili hii pale majaliwa stadium Ruangwa mjini ni kipute cha aina yake miamba miwili ya ligi kuu Tanzania bara...
14/03/2020

πŸ‘£πŸ‘£
Ni juma pili hii pale majaliwa stadium Ruangwa mjini ni kipute cha aina yake miamba miwili ya ligi kuu Tanzania bara wakionyeshana ubabe kuwania point 3 , nani atashuka na atapanda ?
Mara ya mwisho yanga kukutana na namungo fc ilikuwa 2019 kwenye mechi ya FA ambapo namungo fc ya ligi daraja la kwanza ilikubali kichapo cha bao moja bila la kichwa kutoka kwa MAKAMBO Ulikuwa ni mpira wa kona uliopigwa vyema na IBRAHIMU AJIBU akiwa yanga , japo NAMUNGO FC walifungwa ila ndio walikuwa wakiutawala sana mpira dakika zote za mchezo huo na bahati haikuwa ya kwao.
Hata hivyo namungo fc inahistoria nzuri sana juu ya uwanja huu wa majaliwa kutokana na matokeo wanayoyapata wakiwa nyumbani , kwani hadi sasa wamefungwa mchezo mmoja tu na coast union pekee.
Je kesho patachinjika? Tukutane MAJALIWA STADIUM RUANGWA MJINI KARIBUNI.πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ™βš½βš½βš½

Address

Namakonde
Ruangwa

Opening Hours

Monday 06:00 - 23:59
Tuesday 06:00 - 23:59
Wednesday 06:00 - 23:59
Thursday 06:00 - 23:59
Friday 06:00 - 23:59
Saturday 06:00 - 23:59
Sunday 18:00 - 23:59

Telephone

+255716946106

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Naipenda Namungo fc posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share