29/04/2020
Soon i'm loading.........
Wakati bado tukijiandaa kurejea ngoja ni kuache na mjadala huu.
hakuna asiyejua hali halisi ya janga la corona iliyowapata wenzetu wa italy je, ni fair kusubiri mda kuendeleza ligi yao? Ukizingatia mataifa matatu hadi sasa yamefuta mashindano yote ya msimu.
1.BELGIUM
2.NERTHERLAND
3.FRANCE.
Jibu kimwanasport..............