Misri sports news

Misri sports news Special Education Teacher

โ€ฆRyanair, Shirika la ndege la bei nafuu kutoka nchini Ireland ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ช linafikiria kuanzisha safari za ndege zisizokuwa na sit...
28/05/2025

โ€ฆRyanair, Shirika la ndege la bei nafuu kutoka nchini Ireland ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ช linafikiria kuanzisha safari za ndege zisizokuwa na sitiโ€ฆ

Lengo ni kuzidi kupunguza nauli, kwa kuwawezesha watu wenye uwezo mdogo kiuchumi, kusafiriโ€ฆ

Abiria wote mtalazimika kusimama, mwanzo hadi mwisho wa safari, k**a kwenye mwendokasi za Bongo, kwa bei nafuu sanaโ€ฆ

Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ to France ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท, safari ya โ€œmasaa 9โ€ angani, unaambiwa itakuwa ni Euro 10 tu, yaani shilingi elfu 30 za Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, k**a SGR ya Dar to Domโ€ฆ

Asante MUNGU
18/05/2025

Asante MUNGU

Ni neema tu inayonifanya niishi leo. Thanks my LORD
18/05/2025

Ni neema tu inayonifanya niishi leo. Thanks my LORD

Former Sporting Lagos goalkeeper Agbor Ekoi has passed away reports OJB Sports. ๐Ÿšจ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌThe 27-year-old was involved in a roa...
02/11/2024

Former Sporting Lagos goalkeeper Agbor Ekoi has passed away reports OJB Sports. ๐Ÿšจ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ

The 27-year-old was involved in a road accident and died on the spot. ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ•Š๏ธ

May his soul RIP! ๐Ÿ™๐Ÿฝ

28/09/2024

SEMAJI LA CAF

๐Ÿšจโš ๏ธ๐——๐—˜๐—”๐—Ÿ ๐——๐—ข๐—ก๐—˜ โœ…Azam FC imemtangaza Rachid Taoussi raia wa Morocco (picha ya kwanza) kuwa kocha wake mkuu kwa mkataba wa m...
08/09/2024

๐Ÿšจโš ๏ธ๐——๐—˜๐—”๐—Ÿ ๐——๐—ข๐—ก๐—˜ โœ…

Azam FC imemtangaza Rachid Taoussi raia wa Morocco (picha ya kwanza) kuwa kocha wake mkuu kwa mkataba wa mwaka mmoja.

Taoussi amewahi kuvifundisha vilabu mbalimbali Afrika vikiwemo Raja CA, RS Berkane na FAR Rabat vya Moroccoโ€ฆ. ES Setif na Olympique Khouribga vya Algeria pamoja na timu za taifa za vijana za Morocco.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Azam FC, kocha huyo amekuja na wasaidizi wake watatu, ambao ni kocha msaidizi, Ouajou Driss, kocha wa utimamu wa mwili, Badr Eddine na kocha wa makipa, Rachid El Mekkaoui.

Follow Frank Festo

Simba SC are closing in on the signing of Elie Mpanzu (22) from AS Vita Club, confirmed. ๐Ÿšจ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉTalks at an advanced stage n...
03/06/2024

Simba SC are closing in on the signing of Elie Mpanzu (22) from AS Vita Club, confirmed. ๐Ÿšจ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ

Talks at an advanced stage now with only few details left for the move to be concluded.

Mpanzu will become the first player, Simba will sign ahead of next season.

He was on the scoutโ€™s list since last season.

A player who can operate on both sides. Ended the season in DR Congo with 11 goals. โœจ


๐Ÿฆ

Inaelezwa kuwa viongozi wa Simba SC wamegawanyika mitozamo kwenye maamuzi juu ya mshambuliaji wa klabu hiyo Fredy Michae...
03/06/2024

Inaelezwa kuwa viongozi wa Simba SC wamegawanyika mitozamo kwenye maamuzi juu ya mshambuliaji wa klabu hiyo Fredy Michael Kouablan raia wa Ivory Coast.

Wapo baadhi wanadaibkuwa nyota huyo asalie Msimbazi Kwa sababu anaonyesha mwanga anaweza kuwa tishio huko mbeleni.

Wakati upande mwingine wanadai kuwa nyota huyo aondoke Simba SC Kwa sababu klabu hiyo inahitaji washambuliaji Bora kuliko Kouablan.

Mungu siku zote ni Mwema
30/05/2024

Mungu siku zote ni Mwema

Karibu ujipatie huduma za laini za UWAKALA
11/06/2023

Karibu ujipatie huduma za laini za UWAKALA

Address

B6, Nyamangana, Tanzania
Mwanza

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Misri sports news posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category