28/05/2025
โฆRyanair, Shirika la ndege la bei nafuu kutoka nchini Ireland ๐ฎ๐ช linafikiria kuanzisha safari za ndege zisizokuwa na sitiโฆ
Lengo ni kuzidi kupunguza nauli, kwa kuwawezesha watu wenye uwezo mdogo kiuchumi, kusafiriโฆ
Abiria wote mtalazimika kusimama, mwanzo hadi mwisho wa safari, k**a kwenye mwendokasi za Bongo, kwa bei nafuu sanaโฆ
Tanzania ๐น๐ฟ to France ๐ซ๐ท, safari ya โmasaa 9โ angani, unaambiwa itakuwa ni Euro 10 tu, yaani shilingi elfu 30 za Tanzania ๐น๐ฟ, k**a SGR ya Dar to Domโฆ