01/06/2026
Watu mnalishana mitango poli kila siku eti Simbasc inamtaka GIRUMUGISHA hivi gharama yake mnaijua au mnataka kuleta presha kwa mashabiki yaani Simbasc ipambane na Al Ahaly kwenye saini ya GIRUMUGISHA, acheni hizo huyo mchezaji anagharama kubwa sana na kwa vilabu vya Tanzania kwasasa sioni wa kumleta huyo dogo labda tuseme akichuja ndiyo tutamleta.
#๐๐ช๐ฎ๐ฃ๐ข๐ด๐ค