Yanga Fire

Yanga Fire Habari zote kuhusu timu ya wananchi Yanga Sc zinapatikana hapa, matokeo, ratiba na uchambuzi

Pia tupo instagram k**a

03/07/2025

Professor ..yupo sana jangwani

Tukutane kwa mkapa wananchiπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ
19/02/2023

Tukutane kwa mkapa wananchiπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ

Kikosi kinachoanza dhidi ya Us Monastir πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ’šπŸ’›
12/02/2023

Kikosi kinachoanza dhidi ya Us Monastir πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ’šπŸ’›

Leo tunakwenda kuwakilisha nchi ipasavyo..πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ’›πŸ’š
12/02/2023

Leo tunakwenda kuwakilisha nchi ipasavyo..πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ’›πŸ’š

Sura za ushindi πŸ’ͺπŸ’ͺ
10/02/2023

Sura za ushindi πŸ’ͺπŸ’ͺ

Kikosi kinachoanza dhidi ya ruvu ...πŸ’ͺπŸ’ͺ
23/01/2023

Kikosi kinachoanza dhidi ya ruvu ...πŸ’ͺπŸ’ͺ

Mida ya makolo kuumia imekaribia...atafungwa ruvu wataumia wao
23/01/2023

Mida ya makolo kuumia imekaribia...atafungwa ruvu wataumia wao

Up next
20/01/2023

Up next

Jana Yanga ilicheza mechi ya 47 mfululizo pasipo kupoteza katika ligi kuu ya NBC wakiichapa Singida Big Stars mabao 4-1 ...
18/11/2022

Jana Yanga ilicheza mechi ya 47 mfululizo pasipo kupoteza katika ligi kuu ya NBC wakiichapa Singida Big Stars mabao 4-1 na kurejea kileleni mwa msimamo wa ligi
Pamoja na kiwango bora kilichoonyeshwa na vijana wake, Kocha Mkuu wa Yanga Nasreddine Nabi amesema bado timu haijacheza katika ubora anaotaka
Nabi aliwapongeza wachezaji kwa ushindi mnono dhidi ya Singida Big Stars lakini akasisitiza bado kuna makosa wamekuwa wakifanya ambayo wanapaswa kurekebisha
"Tunapaswa kucheza mechi zote k**a fainali, tumefunga mabao manne lakini haimaanishi tumecheza vizuri sana. Ziko nyakati tulicheza vizuri lakini ziko nyakati hatukucheza vizuri, yapo maeneo ambayo tunapaswa kujirekebisha" alisema Nabi
Nae Kocha Mkuu wa Singida Big Stars Hans van der Pluijm alisema vijana wake hawakuwa na siku nzuri uwanjani na walizidiwa na wapinzani wao Yanga
Pluijm alisema matokeo hayo yanaakisi tofauti ya ubora wa vikosi kati ya timu yake na Yanga
"Tuliingia tukiwa na lengo la kutafuta alama tatu lakini mambo hayakwenda vile tulivyotarajia. Unapokutana na wachezaji bora halafu ukafanya makosa lazima utaadhibiwa"
"Naweza kusena hatukuwa na siku nzuri, nawapongeza Yanga kwa kupata ushindi"

Kwenye Unbeaten 47 wauza poda wamechangia 3 singida wamechangia 1 tuu alaf bado unasema singida wabobu...poda siichezo K...
18/11/2022

Kwenye Unbeaten 47 wauza poda wamechangia 3 singida wamechangia 1 tuu alaf bado unasema singida wabobu...poda siichezo

Kumbe ndo maana namuonaga kibu hayuko sawa...πŸ™‚πŸ™‚

Hawa wote yule kipa wa Makolo anawaelewa vizuri.
10/11/2022

Hawa wote yule kipa wa Makolo anawaelewa vizuri.

Hawa itakuwa ni watu wawili tofauti
10/11/2022

Hawa itakuwa ni watu wawili tofauti

Address

Mwanza
33110

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Yanga Fire posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Yanga Fire:

Share

Category