18/12/2023
Weekend hii tulikuwa Mbeya Kuikabili Tanzania Prisons katika mchezo wa kombe la Shirikisho la Azam.
Mchezo ulimalizika kwa ushindi wa penati 6 kwa 5 na tukafanikiwa kufuzu hatua inayofuata.
Weekend hii tunawakabili Mapinduzi katika muendelezo wa michezo ya First League katika Uwanja wa Chuo Kikuu Cha Ushirika Moshi