23/03/2026
MSIUMIE SANA MASHABIKI WA YANGA SC π°π°π°
Najua matokeo ya mtani yanaumiza, lakini usiumie sana mwananchi Yanga SC π
Jana Mwanengo na Pacome Zouzoua walipata nafasi ya kuvuna alama 3 muhimu lakini matumizi hayakuwa sahihi kabisa π
Mtani kapata nafasi na kaitumia vizuri sana uwanjani, kakusanya alama 3 muhimu kuendelea kupunguza gape kati yake na Yanga SC π
Any way, still Yanga SC anaongoza ligi kuu ya NBC, hata k**a mtani atashinda vipolo vyake vyote still hafikii points za Yanga SC π
Bado Yanga SC anayo nafasi ya kutetea ubingwa wake msimu huu π
No retreat, No surrender
Mapambano bado yanaendea π₯π₯π₯