Sports Attack

Sports Attack Page hii ni Kwaajili ya taarifa za kimichezo ndani na nje ya Tanzania ๏ฟฝ

๐—ฅ๐—”๐—ฆ๐— ๐—œ:Mamelodi Sundowns itakutana na Al Ahli ya Saudi Arabia katika mchezo wa FIFA African-Asian-Pacific Cup.Mchezo huo ...
27/08/2026

๐—ฅ๐—”๐—ฆ๐— ๐—œ:

Mamelodi Sundowns itakutana na Al Ahli ya Saudi Arabia katika mchezo wa FIFA African-Asian-Pacific Cup.

Mchezo huo utapigwa Septemba 19, 2026, kwenye uwanja wa Loftus Versfeld Stadium, mjini Pretoria, Afrika Kusini.

Mshindi wa mchezo huu atatwaa taji la FIFA African-Asian-Pacific Cup na kutinga hatua inayofuata ya mashindano, FIFA Challenger Cup.

Mshindi wa hatua hiyo ataendelea na safari ya kuwania FIFA Intercontinental Cup, ambayo itafikia kilele kwa fainali dhidi ya Paris Saint-Germain, mabingwa watetezi.

Sundowns vs Al Ahli โ€” pambano la mabingwa wa Afrika na Asia!

TUKUTANE KWENYE UPANGAJI WA MAKUNDI
26/08/2026

TUKUTANE KWENYE UPANGAJI WA MAKUNDI

RASMIVILABU 36 VITABUOCHEZA MASHINDANO YA KLABU BINGWA ULAYA HIVI HAPA๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ England: Arsenal, Aston Villa, Liverpool, ...
26/08/2026

RASMI
VILABU 36 VITABUOCHEZA MASHINDANO YA KLABU BINGWA ULAYA HIVI HAPA

๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ England: Arsenal, Aston Villa, Liverpool, Manchester City, Manchester United

๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Spain: Atlรฉtico Madrid, Barcelona, Real Betis, Real Madrid, Villarreal

๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Germany: Bayern Munich, Borussia Dortmund, RB Leipzig, Stuttgart

๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น Italy: Como, Inter, Napoli, Roma

๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท France: Lens, Lille, PSG

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ท Turkey: Fenerbahรงe, Galatasaray

๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น Portugal: Porto, Sporting CP

๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑ Netherlands: Feyenoord, PSV

๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ด Norway: Bodรธ/Glimt, Viking

๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ท Greece: AEK Athens

๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ช Belgium: Club Brugge

๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡น Austria: LASK

๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ฟ Azerbaijan: Sabah

๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฆ Ukraine: Shakhtar Donetsk

๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฟ Czechia: Slavia Prague

๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฐ Slovakia: Slovan Bratislava

16/08/2026
16/08/2026
MSIMAMO WA LIGI KUU NBC
16/08/2026

MSIMAMO WA LIGI KUU NBC

MSIMAMO WA NBCPL
14/08/2026

MSIMAMO WA NBCPL

KOCHA MPYA ASIYE MZAWA WA UHORANZIXavi Hernandez anakuwa kocha wa kwanza kutoka nje ya viunga vya UHOLANZI tangu mwaka 1...
14/08/2026

KOCHA MPYA ASIYE MZAWA WA UHORANZI

Xavi Hernandez anakuwa kocha wa kwanza kutoka nje ya viunga vya UHOLANZI tangu mwaka 1978 na mchezo wake wa kwanza utakuwa zidi ya Ujerumani

BREAKINGLeo Habari njema kwa mashabiki wa Yanga SC. Rasmi FIFA imeifungulia Yanga kufanya usajili. Hii ni baada ya klabu...
14/08/2026

BREAKING

Leo Habari njema kwa mashabiki wa Yanga SC.

Rasmi FIFA imeifungulia Yanga kufanya usajili.
Hii ni baada ya klabu kufanikiwa kulipa madeni limbikizi kwa wachezaji wasiotajwa.

Uongozi wa yanga umesema sasa timu itaendelea kujiimarisha kwa usajili wa mwisho.

FULL TIMESINGIDA BS 3-0 FOUNTAIN GATE
14/08/2026

FULL TIME

SINGIDA BS 3-0 FOUNTAIN GATE

Address

Uyole
Mbeya

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sports Attack posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Sports Attack:

Shortcuts

Share

Category