Mashairi ya Simba na Yanga

Mashairi ya Simba na Yanga "Swahili AI Sports – akili bandia, michezo halisi." Mashairi ya Simba na Yanga

Bonyeza CREATE POST kuandika habari Yanga sc na simba fc habari na matukio katika tenzi.watani wa jadi original na utani wenye kifani katika mtindo wa mashairi na tenzi na video zenye kuelezea uhalisia wa matukio ya kila siku yatokeay katika timu hizi

WAKAMLETA PANTEVU,AKAGEUKA MAJIVUWAKATAMBA NA AHOUA,AKAGEUKA BAMIAWAKATAMBA NA CAMARA,KAISHIA MWANANYAMARA!WAKAMLETA SOW...
23/12/2025

WAKAMLETA PANTEVU,AKAGEUKA MAJIVU
WAKATAMBA NA AHOUA,AKAGEUKA BAMIA
WAKATAMBA NA CAMARA,KAISHIA MWANANYAMARA!
WAKAMLETA SOWAH,JAMAA KUMBE JUHA
WANAHAHA
WANATESEKA
WANANCHI WANAWATESA

07/09/2024

YANGA NI KIBOKO YAO,TANO TANO NDIO ZAO...TENZI

Azam alikula nne,kashiba akawa mnene
stori ikawa nne,hadi kule nane nane
Fei akawa mnene,kwa kushiba zile nne
Nani atamdhibiti,Yanga ni kibokop yao......................................................................................................
Simba mno alikonda,kwa tano za uhakika
kiviwango hakupanda,alianza angahika
ya tatu ilimganda,nafasi hakuchomoka
yanga ni kiboko yao,ina hata kwasi yao....................................................................................

Yanga kiboko yao,kila timu inapata zao.Yanga ni kiboko yao,hilo halina ubishiimemsajili yao,akiwa na baoli mbishianaonge...
07/09/2024

Yanga kiboko yao,kila timu inapata zao.

Yanga ni kiboko yao,hilo halina ubishi
imemsajili yao,akiwa na baoli mbishi
anaongea kikwao,hajakijua kiswazi
kila timu yala zao,yanga ni kiboko yao...

Azam alikula nne,kashiba akawa mnene
stori ikawa nne,hadi kule nane nane
Fei akawa mnene,kwa kushiba zile nne
Nani atamdhibiti,Yanga ni kibokop yao.....

Simba mno alikonda,kwa tano za uhakika
kiviwango hakupanda,alianza angahika
ya tatu ilimganda,nafasi hakuchomoka
yanga ni kiboko yao,ina hata kwasi yao....

ilihaha Sundown,nawe ukishuhudia
kwa mkapa pale town,jasho lilimmwagika
na free town,alibebwa na manyika
Yanga ni kiboko yao,kali sana timu yao.....

Kaiza chifu hakutamba,akiwa nyumbani kwao
hakuweza kujigamba,pale kwenye dimba lao
kapigwa akawa mwembamba,nne bila jibu lao
Yanga ni kiboko yao,tamu mno soka lao......

Nani atamzuia,huyu yanga mwenye njaa
makombe kujitwalia,kabatile likajaa
kwa shangwe kushangilia,na pesa kujipatia
Yanga ni kiboko yao,wanayo timu ya kwao.....

Kaditama nashuntama,siwezi kuendelea
kidete mi nasimama,huku nikichekelea
simba mno imekwama.yanga inaendelea
Yanga ni kiboko yao,nchi yote nchi yao....

DO YOU WANT TO BE A COMPUTER PROGRAMMER? DONT WORRY.......Miwani Miwili Tech is offering computer programming courses fo...
10/11/2023

DO YOU WANT TO BE A COMPUTER PROGRAMMER? DONT WORRY.......
Miwani Miwili Tech is offering computer programming courses for individuals who want to learn and master the following programming languages:
1.C PROGRAMMING LANGUAGE
2:C++ PROGRAMMING LANGUAGE
3.JAVA PROGRAMMING LANGUAGE
4.PHP WEB PROGRAMMING LANGUAGE
5.PYTHON PROGRAMMING LANGUAGE
6.HTML AND CSS
7.JAVASCRIPT WEB PROGRAMMING LANGUAGE
8.OBJECT ORIENTED DESIGN AND ANALYSIS
and many more ........if you have any project related to computer programming ,we are here to help too.......kindly contact us through mobile phone number +255753991029 or 0785112370 we are located in Chanika,Dar es salaam.

JINSI YA KUTIBU NA KUJIKINGA NA MAJINI NA UCHAWI KWA KUTUMIA HIJAMAHijama ni kitendo cha kitiba kuondoa damu chafu ktk m...
01/11/2023

JINSI YA KUTIBU NA KUJIKINGA NA MAJINI NA UCHAWI KWA KUTUMIA HIJAMA
Hijama ni kitendo cha kitiba kuondoa damu chafu ktk mwili ambayo haina uwezo tena wa kusafirisha hewa ya oxgen kwenda ktk kila sehemu yamwili ili kuufanya kuwa na afya njema .Damu ndio maji ya uhai.Mashetani na uchawi na maradhi mengine k**a vile kisukari,presha,tezi dume,uoni hafifu na mengineyo chanzo chake ni damu chafu.kwa maana hiyo basi,Mashetani na Uchawi hukaa katika damu chafu mwilini.Damu hiyo ikiondolewa,Masheatni hukosa mahala pa kujificha mwilini na matokeo yake huondoka.Hii ni k**a shamba ambalo halina matunzo.Viumbe wengi hatari k**a vile majoka,wanyama wakali na uchafu wa kila aina hupatikana katika shamba hilo.huu ni mfano halisi wa mtu asiyefanya hijama..mwili wake hugeuka maficho ya mashetani,uchawi na maradhi mengine ya kibaiolojia.....Karibu KAMNA HIJAMA AND RUQYA CENTRE ili kupata tiba na ushauri juu ya kisomo cha RUQYA na HIJAMA ili kuuweka mwili wako katika hali salama nakujikinga na Mashetwani na Uchawi Biidhinillah.........

Siioni simbaWako wapi,wa kimataifawavaao nepi,tena zenye nyufawakipewa pipi,husahau kufaSIIONI SIMBA,SIMBA GANI??
22/12/2022

Siioni simba

Wako wapi,wa kimataifa
wavaao nepi,tena zenye nyufa
wakipewa pipi,husahau kufa

SIIONI SIMBA,SIMBA GANI??

FEISALMAYELEAZIZAUCHO MORRRSONOOOOOOOHHH  OOOYOTE NI MABOMU
21/12/2022

FEISAL
MAYELE
AZIZ
AUCHO MORRRSON
OOOOOOOHHH OOO
YOTE NI MABOMU

23/06/2022

yanga Bingwa wetu ni fiston mayele
achezea timu yetu hapigi kelele
na watani zetu huwakuna upele
afungapo goli hutetema kwa mbele

Address

Sai Mbeya
Mbeya

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mashairi ya Simba na Yanga posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category