kapu la michezo na khan jr

kapu la michezo na khan jr Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from kapu la michezo na khan jr, Football Stadium, Mbeya.

Tottenham wamekubali dili la kumsajili Xavi Simons kutoka LeipzigimethibitishwaMakubaliano yamefanywa kwa upande wa mche...
29/08/2025

Tottenham wamekubali dili la kumsajili Xavi Simons kutoka LeipzigimethibitishwaMakubaliano yamefanywa kwa upande wa mchezaji kwani ada isiyobadilika ya €60m imekubaliwa usiku mmoja k**a ilivyofunuliwa.

yote yamefungwa Mikataba yote iliyosainiwa kwa pande zote mbili za wachezaji na vilabu.

Xavi tayari amekamilisha sehemu kuu ya matibabu... na uhamisho wake kwenda Spurs umekamilika, mwamba atatangazwa leo.


Kuna  muda maisha ni k**a yanataka uwe unaijua kesho yako Wenda itasaidia kujua unaepukana vipi au unajenga vipi kesho y...
29/08/2025

Kuna muda maisha ni k**a yanataka uwe unaijua kesho yako Wenda itasaidia kujua unaepukana vipi au unajenga vipi kesho yako iwe Bora ...

Just imagine hawa vijana walikuwa tegemezi ndani ya united lakini Leo wote wanatajwa kuondoka ndani ya Manchester united Tena ni vijana wadogo kabisaa...ambao k**a wangeendelea kupewa nafasi tungeona makubwa ..

Kwa bahati mbaya maisha ya mpira yanataka matoke ya papo hapo vinginevyo ni lawama tuuu ..IKIWEMO kuonekena mchango wako si chochotee jApo ukiachana na tabia za wachezaji wenyewee hapa sasa (Garnacho)

Nafikiri k**a unaipenda united wee endelea tuu ndiyo timu yako maybe yajayo yanafurahishaa🤣🤣

Mzee wa logistics.. Khan jr

Kwenye jioni za ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2025/2026 rasmi Clement Mzize atkuwepo k**a ambavyo klabu ya yanga kuthi...
27/08/2025

Kwenye jioni za ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2025/2026 rasmi Clement Mzize atkuwepo k**a ambavyo klabu ya yanga kuthibitishaa hiloo !!!!

Safu ya ushambuliaji ya yanga saasa rasmi nii k**a ifuatavyo ..
⚽ Clement Mzize
⚽ Andy Boyel
⚽Prince dube
⚽ Edmund John

Kocha Roman folz ni yeye tuu kupanga kuchagua aanze na nanii .....

Mzee wa logistics...Khan jr

Alexander Isak bado amedhamiria kuondoka Newcastle United na kujiunga na Liverpool, licha ya jitihada za mwenyekiti wa P...
27/08/2025

Alexander Isak bado amedhamiria kuondoka Newcastle United na kujiunga na Liverpool, licha ya jitihada za mwenyekiti wa PIF, Al-Rumayyan, na mmiliki mwenza, Jamie Reuben, kukutana naye nyumbani kwake ili kujadili mustakabali wake.

Ripoti zinasema kuwa mchezaji anaendelea kugoma kuendelea na shughuli za klabu, huku zikiwa zimebaki siku 6 tu kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili, jambo linaloongeza shinikizo kubwa kwa pande zote mbili kufikia suluhisho.


Wakati nawaza kuhusu msimu wa NBC premier league 2025/2026 ...likanijia jina Mpanzu kibisawalaa watoto wa mjini wamenamu...
27/08/2025

Wakati nawaza kuhusu msimu wa NBC premier league 2025/2026 ...likanijia jina Mpanzu kibisawalaa watoto wa mjini wamenamuita mkemia Mkuu 🤣

Basi nawakumbusha wakati mnamtaja ,mnamuimba ,mnampakulia manyama Paccome Zou Zou basii msimsahau Ellie Mpanzu... mkemia kwenye show za ligi kuu Tanzania bara nae atakuwepo ..

Kupanga kuchagua kushabikia timu ya mchezaji au kuangalia burudani za hawa wachezaji wakiwa uwanjani......

Mzee wa logistics Khan Jr Jr.

Ligi kuu Tanzania bara inaendelea Leo kutimua vumbi viwanja tofauti tofauti.Meja Isamuhyo mchezo utapigwa majira ya saa ...
11/12/2024

Ligi kuu Tanzania bara inaendelea Leo kutimua vumbi viwanja tofauti tofauti.

Meja Isamuhyo mchezo utapigwa majira ya saa 10 kamili jioni ambapo Jkt Tanzania watakuwa uwanjani kuwaalika vijana kutokea Mwanza Pamba Jiji.

Wakati huohuo Kagera sugar wanawaalika wauaji wa kusini Namungo pale uwanja wa Kaitaba stadium mjini majira ya saa 1 kamili za usiku.
Ikumbukwe katika makutano yao katika michezo 8 Namungo ameshinda mechi 4 wakati Kagera sugar ameshinda 1 sare ni 3 .

Kagera sugar anashika nafasi ya 14 akiwa na point 10 wakati Namungo anashika nafasi ya 15 point 9 akiwa amezidiwa mchezo Mmoja na Kagera sugar.

Nani kuibuka na ushindi kwenye mchezo wa Leo?


Ligi kuu Tanzania bara inaendelea Leo kwa mchezo Moja kupigwa pale Zanzibar uwanja wa Amani complex Singida Black stars ...
30/10/2024

Ligi kuu Tanzania bara inaendelea Leo kwa mchezo Moja kupigwa pale Zanzibar uwanja wa Amani complex Singida Black stars watawaalika Yanga majira ya saa 2 :30 usiku .

Moja ya kivutio kikubwa katika mchezo huu ni kwa timu zote mbili mbaka sasa hazijapoteza mchezo wowote wakati huo huo Singida anashika nafasi ya kwanza kwenye msimamo wakati Yanga wakishika nafasi ya pili kwenye msimamo.

Michezo 6 ambayo wamekutana yanga kashinda michezo 4 wakati Singida Black stars wakati ikiitwa Ihefu sc wameshinda michezo 2 pekee .

Nani kuibuka na ushindi Leo ..????




Beti na .co.tz kujishindia mikeka yako.

Mzee Magoma ameshindwa kwenye kesi yake dhidi ya Yanga ambapo hukumu imetokaleo Agosti 9, 2024 saa 5 asubuh katika mahak...
09/08/2024

Mzee Magoma ameshindwa kwenye kesi yake dhidi ya Yanga ambapo hukumu imetoka
leo Agosti 9, 2024 saa 5 asubuh katika mahak ama ya kisutU na anatakiwa kuilipa fidia klabu ya Yanga.
Akizungumza na Wasafi Medig, Mene ja Habari na Manasiliano wa Yanga Sc, Ally
Kamwe amesema kuwa Magoma ametakina kuilipa Yanga gharama zote walizotumia
katika kuendesha Kesi hiyo.



Paul Scholes amesiliba chumvi kwenye kidonda kibichi cha ManUnited"Ngpata tabu sana kuwa na hamu na msimu mpya na Man Un...
09/08/2024

Paul Scholes amesiliba chumvi kwenye kidonda kibichi cha Man
United
"Ngpata tabu sana kuwa na hamu na msimu mpya na Man United. Nimesikia
mashabiki wengi wana hamu kubWa na msimu lakini sio kwangu mimi . Eneo la katikati
ya uwan ja ndio eneo ambalo tupo wazi sang , timu zinakatiza tu dhidi yetu kirahisi
"Bado nina wasinasi sana kuhusu Onana , hata ukiangalia mechi za Preseason baadhi
ya magoli aliyoruhusu dhidi ya Liverpool. Naweza kuthibitisha kwamba ananipa
Nasinasi
Kumsa jili De Ligt ? Pale Bayern Munich hachezi . Inanipa nasinasi maana hata
Eric Dier anacheza mbele yake . Juventus waliachana naye kwasababu naliona
hatoshelezi kwao, na hakuna vizuri kwa Bayern na anakuja kwetu k**a beki bora
namba mbili, ila anaweza kuwa usajili mzuri , sio kwamba namkataa
Knenye maho jiano na Jamie Carragher " We are the Overlap" ShowN

Hiii inaashiria nn kuelekea msimu ujao Kwa Manchester united??



🗓️ Mechi saba za mwezi wa mwisho wa mwaka 2023 kwa timu ya simba sport club.
01/12/2023

🗓️ Mechi saba za mwezi wa mwisho wa mwaka 2023 kwa timu ya simba sport club.


Rais wa Young Africans SC na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika Eng.Hersi Ally Said leo alialikwa na Balozi wa Ur...
01/12/2023

Rais wa Young Africans SC na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika Eng.Hersi Ally Said leo alialikwa na Balozi wa Urusi nchini Tanzania Bw.Andrey Avetisyan kwa lengo la kujenga ushirikiano wa kukuza soka kuanzia ngazi za chini baina ya Young Africans SC na Vilabu vya mpira nchini Urusi.

Pia Balozi wa Urusi nchini alimpongeza Rais Hersi kwa kazi nzuri anayoendelea kufanya na kumtakia kila la kheri kwenye majukumu yake mapya k**a Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika.



la michezo

Address

Mbeya

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when kapu la michezo na khan jr posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to kapu la michezo na khan jr:

Share