Soka Letu

Soka Letu PATA HABARI ZA MICHEZO . UCHAMBUZI WA KINA .MAKALA NA TETESI ZINAZOJIRI DUNIANI KOTE

Tottenham Hotspur wako kwenye mazungumzo na Bournemouth juu ya Joshua Josh King. Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka ...
31/08/2020

Tottenham Hotspur wako kwenye mazungumzo na Bournemouth juu ya Joshua Josh King. Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 28 anaonekana k**a mshambuliaji mzuri akisimama na Harry Kane.
(Chanzo: talkSPORT)

Nani mkali hapo🅰️Bernard Morrison🅱️Tuisila KisindaTwende sasa piga kura yako hapa tupate mkali kulko mwezie
31/08/2020

Nani mkali hapo

🅰️Bernard Morrison
🅱️Tuisila Kisinda

Twende sasa piga kura yako hapa tupate mkali kulko mwezie

Hivi ni vilabu vilivyotwaa mataji mengi zaidi duniani, kwenye karne hii ya 21 tangu 1/1/2000.Klabu ya Al Ahly kutoka Mis...
31/08/2020

Hivi ni vilabu vilivyotwaa mataji mengi zaidi duniani, kwenye karne hii ya 21 tangu 1/1/2000.

Klabu ya Al Ahly kutoka Misri inashika namba moja ikiwa imetwaa vikombe 41.

Hii ni kwa mujibu wa mtandao wa Transfermarket.com

MATCH DAY  🏆 Wolfsburg 🆚 Lyon⏲ 21:00 CET🏟 Anoeta, San Sebastián
30/08/2020

MATCH DAY

🏆 Wolfsburg 🆚 Lyon
⏲ 21:00 CET
🏟 Anoeta, San Sebastián

Yupi atakuwa Wa Kwanza kucheka Na nyavu  leo FAINALI YA UEFA WOMEN'S CHAMPIONS LEAGUE?  🤩1⃣ Pernille Harder2⃣ Dzsenifer ...
30/08/2020

Yupi atakuwa Wa Kwanza kucheka Na nyavu leo FAINALI YA UEFA WOMEN'S CHAMPIONS LEAGUE? 🤩

1⃣ Pernille Harder
2⃣ Dzsenifer Marozsán
3⃣ Wendie Renard
4⃣ Dominique Janssen

Messi akicheza  na De Bruyne huko Manchester City, au  na Neymar huko PSG au na Cristiano huko Juventus Wapi atakuwa bor...
26/08/2020

Messi akicheza na De Bruyne huko Manchester City, au na Neymar huko PSG au na Cristiano huko Juventus

Wapi atakuwa bora zaidi !?

Kila wakati tumeamini kuwa uhusiano wa Messi na Barca unapaswa kumalizika hadi Mtaalam atapostaafu, lakini ikiwa ataondo...
25/08/2020

Kila wakati tumeamini kuwa uhusiano wa Messi na Barca unapaswa kumalizika hadi Mtaalam atapostaafu, lakini ikiwa ataondoka, Ziko sehemu zinazowezekana kuvutia sana. Kwake

Je! Kwa Pep Guardiola?au Kuungana tena na Neymar? Au vip pale Inter? Au pia aungane na Cristiano Ronaldo?

🎯Yote Na yote tuendelee kusubiri maamuzi !!

🏆 𝐂𝐡𝐚𝐦𝐩𝐢𝐨𝐧𝐬! Hongera Real Madrid - Washindi wa Ligi ya Vijana ya UEFA 2020!Wakimchapa  3-2 Benfica  fainali ikipigwa  hu...
25/08/2020

🏆 𝐂𝐡𝐚𝐦𝐩𝐢𝐨𝐧𝐬! Hongera Real Madrid - Washindi wa Ligi ya Vijana ya UEFA 2020!

Wakimchapa 3-2 Benfica fainali ikipigwa huko Nyon, Uswizi.

Mabingwa hao wa Ulaya Real Madrid chini ya umri Wa miaka 19 wanafundishwa kocha Raúl González! Pongezi Kwa Raul

Vip hapa sote tunangoja kuona hii ikitokea ?
25/08/2020

Vip hapa sote tunangoja kuona hii ikitokea ?

Mashabiki 30% kuingia Uwanjani katika mechi ya Super Cup.UEFA wametangaza rasmi, 30% ya mashabiki wataweza kuingia uwanj...
25/08/2020

Mashabiki 30% kuingia Uwanjani katika mechi ya Super Cup.

UEFA wametangaza rasmi, 30% ya mashabiki wataweza kuingia uwanjani kushuhudia fainali ya UEFA Super Cup kati ya Bayern Munchen na Sevilla itakayopigwa Septemba 24, 2020.

Fainali hii ya UEFA Super Cup huwakutanisha washindi wa UEFA Champions League na UEFA Europa League hivyo mechi itakuwa kati ya Bayern vs Sevilla.

Hili nalo ni moja kati  ya matukio makubwa zaidi katika historia ya mpira tatu bora ya tuzo za balon d'or Wote wakitoka ...
25/08/2020

Hili nalo ni moja kati ya matukio makubwa zaidi katika historia ya mpira tatu bora ya tuzo za balon d'or Wote wakitoka katika klabu moja. 😞🔴

Gary Lineker:  "Ikiwa Messi ataondoka Barcelona kwa kuamsha kifungu cha kukomesha, natumai Klabu itajaribu kumsaidia, si...
25/08/2020

Gary Lineker:

"Ikiwa Messi ataondoka Barcelona kwa kuamsha kifungu cha kukomesha, natumai Klabu itajaribu kumsaidia, sio kumzuia. Amekuwa mwaminifu kwa ukali na mchezaji wake bora. Ingekuwa ya kusikitisha sana nikimaliza na mchezaji pigana kati ya mchezaji na kilabu.

Address

Magu Kahangara
BUJORA

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Soka Letu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Soka Letu:

Share

Category