12/02/2020
Habari za leo ndugu zangu,picha ya huyo mtoto hapo chini Anaitwa Makrina Lukas au Chanch kwa jina lililozoeleka.Mtoto huyu yupo form four shule ya secondary Magugu wilaya ya Babati,mkoa wa Manyara.Mtoto huyu amepotea tarehe 04/02/2020 ,alitoka nyumbani saa moja na nusu asubuhi akiwa anaenda shule,na umbali kutoka nyumbani kwao hadi shuleni ni k**a 2 kms hivi,hakufika shule siku hiyo na hadi leo hajulikani alipo.Kwa hiyo naomba msaada kwa yoyote atayehisi au kumfahamu kuwa ni yeye tafadhali naomba toa taarifa kituo cha polisi kilichopo karibu naye.Au piga namba hizi:0787316877-Baba yake- Lukas Doga au 0754483431-Venance Doga.Tafadhali share kwa magroup mengine itatusaidia.