The Bluez

The Bluez HABARI ZOTE ZA CHELSEA KWA LUGHA YA KISWAHILI. []

|Follow Us|✓
(3)

🚨🚨🚨 kufikia sasa hakuna TAARIFA yeyote ya hawa miamba wawili kuondoka.hawa nik**a wako kwa project kitu mashabiki wa Che...
09/06/2026

🚨🚨🚨 kufikia sasa hakuna TAARIFA yeyote ya hawa miamba wawili kuondoka.

hawa nik**a wako kwa project

kitu mashabiki wa Chelsea wanataka ni kusikia hawa wawili wameondoka🤣🤣

🚨🚨TETESI ZA USAJILI CHELSEA Chelsea inamfatilia winga wa AC MILAN na timu ya taifa ya ureno RAFAEL LEAO.Taarifa za chini...
09/06/2026

🚨🚨TETESI ZA USAJILI CHELSEA

Chelsea inamfatilia winga wa AC MILAN na timu ya taifa ya ureno RAFAEL LEAO.

Taarifa za chini zina sema ,kocha wa Chelsea XABI ALONSO ni shabiki mkubwa wa mchezaji huyo.

pia Chelsea inahitaji beki wa kati mwenye sifa ya uongozi na MSHAMMBULIAJI wa kati (ST)

🚨🔵 RASMI: Ibrahim Rabbaj ataunganishwa na kikosi cha kwanza cha Chelsea chini ya kocha Xabi Alonso msimu ujao! 💙✍️Kijana...
07/06/2026

🚨🔵 RASMI:

Ibrahim Rabbaj ataunganishwa na kikosi cha kwanza cha Chelsea chini ya kocha Xabi Alonso msimu ujao! 💙✍️

Kijana huyo mwenye kipaji kikubwa anaendelea kuvutia sana katika akademi ya Cobham, huku taarifa zikieleza kuwa atakuwa akifanya mazoezi mara kwa mara na kikosi cha wakubwa na kupata nafasi ya kuonekana katika mechi za timu ya kwanza. 🔥👏

Mashabiki wa Chelsea wana kila sababu ya kufuatilia maendeleo ya Rabbaj, ambaye anaonekana kuwa mmoja wa vipaji vinavyotarajiwa kung'ara katika miaka ijayo. 🌟

THE BLUEZ 💙💙💙

NONI MADUEKE ANATUAMBIA KWA NINI ALIACHA FAINALI YA KLABU BINGWA DUNIA KWENDA KUSAJILIWA NA ARSENAL.⬇️‼️Mchambuzi: 🎙️"No...
07/06/2026

NONI MADUEKE ANATUAMBIA KWA NINI ALIACHA FAINALI YA KLABU BINGWA DUNIA KWENDA KUSAJILIWA NA ARSENAL.⬇️‼️

Mchambuzi: 🎙️"Noni, hivi kwa nini uliondoka kambini kwa Chelsea kabla ya fainali ya Klabu Bingwa Dunia.?"

Madueke: 🗣️"Siwezikudanganya, nilikuwa na wasi wasi. Sikutaka kusafiri hadi Marekani bure. Kisha nikasikia Estêvão anakuja pia, nikaona afadhali nimalizie uhamisho wangu kwenda Arsenal haraka iwezekanavyo."

Mchambuzi: 🎙️"Hivyo hukufikiri Chelsea wangeweza kushinda?"

Madueke: anacheka 🗣️"Sio kweli. Hatukuwa katika hali nzuri sana na sikutaka kwenda Marekani nirudi mikono mitupu. Lakini nawapongeza, maana walinishangaza.."

Mchambuzi: 🎙️"Na vipi kuhusu fainali yenu dhidi ya PSG huko Budapest?"

Madueke ananyamaza kimya...🤦

🚨 Gary Cahill:"Nimekuwa nikifika Stamford Bridge mara kadhaa msimu huu, na mashabiki hawawezi kumtosheka Estevão Willian...
06/06/2026

🚨 Gary Cahill:
"Nimekuwa nikifika Stamford Bridge mara kadhaa msimu huu, na mashabiki hawawezi kumtosheka Estevão Willian. Ni mmoja wa wale wachezaji ambao kila anapopokea mpira unaona mashabiki wakiwa makini sana na wenye hamu ya kuona atakachofanya. Hicho ndicho mashabiki hulipia wanapokuja uwanjani.

Enzi zangu kulikuwa na wachezaji k**a Eden Hazard, Pedro Rodríguez na Willian kila walipokuwa na mpira mashabiki walisimama💙🔥⚽

siku k**a ya Leo.. Chelsea ilimsajili winga bora DUNIANI kwa wakati wake Eden hazard kwa kima cha €33 toka lilleNENO MOJ...
05/06/2026

siku k**a ya Leo.. Chelsea ilimsajili winga bora DUNIANI kwa wakati wake Eden hazard kwa kima cha €33 toka lille

NENO MOJA KWA MUBALEGINI HUYU

🚨🚨 TETESI ZA USAJILI CHELSEA Chelsea inafikiria kumsajili LEWA9 pamoja na Bernard silva.wote ni wachezaji huru.pia Chels...
04/06/2026

🚨🚨 TETESI ZA USAJILI CHELSEA

Chelsea inafikiria kumsajili LEWA9 pamoja na Bernard silva.

wote ni wachezaji huru.

pia Chelsea inafatilia sakata la real Madrid KUHUSU junior na mbape huku Chelsea ikimvizia mbape.

🚨🚨 PSG baada ya kumpiga yatima, atakutana na ASTON VILLA kwa UEFA SUPER cup.hapa kuna makocha wawili ambao walicheza fin...
01/06/2026

🚨🚨 PSG baada ya kumpiga yatima, atakutana na ASTON VILLA kwa UEFA SUPER cup.

hapa kuna makocha wawili ambao walicheza final nyingi na kupoteza FINAL moja kila mmoja.

na zote wamecheza ama kupoteza dhidi ya CHELSEA.

je mnaeza niambia ni lini?

na je ni wakati Gani?

kazi kwenu wana BLUEZ 💙🔵🔵

HIZI NI MECHI ZA KIRAFIKI (KUJIQNDAA KABLA YA MSIMU)unaonaje mechi hizi?Je zitakuwa kipimo halisi kabla ya kuanza msimu?
01/06/2026

HIZI NI MECHI ZA KIRAFIKI (KUJIQNDAA KABLA YA MSIMU)

unaonaje mechi hizi?

Je zitakuwa kipimo halisi kabla ya kuanza msimu?

baada yakuenda ujerumani na kuchukuwa vikombe..... VIONGOZI wa Chelsea wameridhia Jackson arudi na kuendelea kubaki Chel...
31/05/2026

baada yakuenda ujerumani na kuchukuwa vikombe..... VIONGOZI wa Chelsea wameridhia Jackson arudi na kuendelea kubaki Chelsea maana kisa cha kuondoka ni baada ya kukosana na aliyekuwa kocha wa WAKATI huo ENZO MARESCA.

JACKSON atakuwa kwa mechi za kujiandaa na msimu

Ila maamzi yatakuwa kwa XABI ALONSO

Address

Moshi
Kilimanjaro

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when The Bluez posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share