Simba support club tz

Simba support club tz PAGE YA MASHABIKI WA SIMBA SPORTS CLUB UBAYA UBWELA SIMBA NGUVU MOJA ๐Ÿฆ
KWA MATANGAZO ZAIDI NITAFUTE INBOX ๐Ÿ“ฅ

โ€˜Bwana DOUMBIA wewe funga tuโ€ฆ! Suala la watapuu wapi hilo waachie wao!โ€™ ๐Ÿ˜‚Kwa hili Shambuliaji jipya la Mnyama unaona โ€˜wa...
24/07/2026

โ€˜Bwana DOUMBIA wewe funga tuโ€ฆ! Suala la watapuu wapi hilo waachie wao!โ€™ ๐Ÿ˜‚

Kwa hili Shambuliaji jipya la Mnyama unaona โ€˜wakinyaโ€™ tena msimu ujao!?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

MR PERFUME
fans

19/07/2026

NI YEYE ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ

SAA 7 MCHANA LEO MASHINE YA KWANZA ITATAMBULISHWA

welcome ๐Ÿ’—ubaya ubwela fans
18/07/2026

welcome ๐Ÿ’—
ubaya ubwela
fans

SHALULILE mbona amewashangaza wanasimba wengi  hili dili doneโœ“kutoka mamelodi sundowinsโœ“%100 fans
11/07/2026

SHALULILE mbona amewashangaza wanasimba wengi hili dili doneโœ“kutoka mamelodi sundowinsโœ“%100
fans

๐Ÿšจ๐ƒ๐„๐€๐‹ ๐ƒ๐Ž๐๐„:Simba SC have completed the signing of centre-back Serge Badjo ahead of the 2026/27 seasonโœ๏ธThe Ivorian defen...
11/07/2026

๐Ÿšจ๐ƒ๐„๐€๐‹ ๐ƒ๐Ž๐๐„:Simba SC have completed the signing of centre-back Serge Badjo ahead of the 2026/27 seasonโœ๏ธ

The Ivorian defender completed the final formalities after signing all documents today, following the completion of the agreement on July 9

All documents are signed, the deal is done โ€” Serge Badjo is a Simba SC player. โœ…

huu
fans

Kwani kunann uko mbona sielewi jamani ๐Ÿฆ๐Ÿฆ fans
11/07/2026

Kwani kunann uko mbona sielewi jamani ๐Ÿฆ๐Ÿฆ
fans

Hapo vipi kwa mfano fans
11/07/2026

Hapo vipi kwa mfano
fans

11/07/2026

ILA MORSON AJAACHA TU VITUKO๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
aibu utaiona wewe ๐Ÿคฃ
fans

Nyota wa timu ya Taifa ya Afrika Kusini na klabu ya Mamelodi Sundowns, Jayden Adams amefariki Dunia akiwa na umri wa mia...
11/07/2026

Nyota wa timu ya Taifa ya Afrika Kusini na klabu ya Mamelodi Sundowns, Jayden Adams amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 25, ikiwa ni muda mfupi tu baada ya kuiwakilisha Bafana Bafana kwenye michuano ya Kombe la Dunia la FIFA 2026.

Adams alicheza mechi zote za Afrika Kusini kwenye michuano hiyo isipokuwa mchezo wa hatua ya 32 bora kwenye kipigo cha 1-0 dhidi ya Canada huku vyanzo mbalimbali vikieleza kuwa alijiua nyumbani kwake huko Stellenbosch hatua inakuja baada kuomboleza kifo cha bibi yake mwenye umri wa miaka 72, Marianna Adams wakati akiwa kwenye majukumu ya timu ya Taifa huko Marekani.

Adams, pamoja na wachezaji wengine saba wa Mamelodi Sundowns walioiwakilisha Afrika Kusini kwenye Kombe la Dunia, walipewa likizo ya wiki mbili zaidi kabla ya kurejea kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya na alitarajiwa kujiunga tena na kikosi cha klabu hiyo wiki ijayo kwa ajili ya kambi ya mazoezi ya maandalizi ya msimu mpya huko Austria.

Kiungo huyo ambaye ni zao la akademi ya Stellenbosch alikuwa sehemu ya kikosi cha Bafana Bafana kilichoshinda medali ya shaba kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2024) huko Ivory Coast, kifo chake kimesababisha mshtuko mkubwa katika soka la Afrika Kusini.


fans

BREAKING NEWS: ๐Ÿšจ๐ŸšจKlabu ya Simba SC Imekamilisha Usajili wa Mshambuliaji, Victor Chukwuemeka Mbaoma raia wa Nigeria ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌS...
11/07/2026

BREAKING NEWS: ๐Ÿšจ๐ŸšจKlabu ya Simba SC Imekamilisha Usajili wa Mshambuliaji, Victor Chukwuemeka Mbaoma raia wa Nigeria ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ

Simba Imepindua Meza kwa Tusker FC ya Kenya ambayo ilikuwa tayari wamemalizana na Mshambuliaji Huyo


fans

Address

Kigamboni

Telephone

+255743322116

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Simba support club tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Simba support club tz:

Shortcuts

Share

Category