Simba support club tz

Simba support club tz PAGE YA MASHABIKI WA SIMBA SPORTS CLUB UBAYA UBWELA SIMBA NGUVU MOJA 🦁
KWA MATANGAZO ZAIDI NITAFUTE INBOX πŸ“₯

🚨 UPDATE: Golikipa wa Klabu ya Simba SC, Yakoub Suleiman, amefanyiwa upasuaji wa goti baada ya kuendelea kusumbuliwa na ...
05/06/2026

🚨 UPDATE: Golikipa wa Klabu ya Simba SC, Yakoub Suleiman, amefanyiwa upasuaji wa goti baada ya kuendelea kusumbuliwa na jeraha alilolipata wakati wa AFCON 2025 nchini Morocco πŸ‡²πŸ‡¦.

Upasuaji huo umefanyika Ijumaa, Mei 22, 2026, katika Hospitali ya Ebrahim Haji, Dar es Salaam.

Yakoub alikuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya miezi mitano bila kupata nafuu kabla ya hatua hiyo ya matibabu kufanyika.

Kwa sasa, atakosa michezo yote iliyosalia ya msimu huu, na pia sehemu ya mwanzo wa msimu ujao kutokana na kipindi cha kupona.

MZEE MAGOMA KAPIGA KWENYE MSHONO 🐸"Kwenye mazuri Simba tuwasifie ili na wewe upate nguvu za kununua la kwako, Simba wana...
05/06/2026

MZEE MAGOMA KAPIGA KWENYE MSHONO 🐸

"Kwenye mazuri Simba tuwasifie ili na wewe upate nguvu za kununua la kwako, Simba wana Iriza Yanga ndio wana Bus tena aina ya TATA sasa utakaa na Tata mpaka lini?

"Hoja ya kusema Iriza ya Simba ni Used wewe unalo? Mimi naona waende na hoja ya kuhoji kwanini kiwanja hakijengwi mapaka sasa na sio Iriza ya Simba, Yanga wana Bus ila Simba ana Iriza tuwapongeze" Mzee Magoma


πŸš¨πŸ‡ΏπŸ‡¦ ππ‘π„π€πŠπˆππ†: Kaizer Chiefs imefanya uchunguzi kuhusu uwezekano wa kumsajili Neo "Gift" Maema, duru zinaonyesha.Maema kw...
04/06/2026

πŸš¨πŸ‡ΏπŸ‡¦ ππ‘π„π€πŠπˆππ†: Kaizer Chiefs imefanya uchunguzi kuhusu uwezekano wa kumsajili Neo "Gift" Maema, duru zinaonyesha.

Maema kwa sasa yuko kwa mkopo wa mwaka mmoja Simba SC akitokea Mamelodi Sundowns na anatarajiwa kuwa mchezaji huru mara tu baada ya kumaliza mkataba wake wa mkopo.

kwa hali ilivyo, Simba SC bado haijatoa uamuzi wa mwisho kuhusiana na mustakabali wa Maema klabuni hapo

Hali ya mchezaji huyo inafahamika inategemea kwa kiasi kikubwa mipango ya kocha mkuu Barker ambaye anatarajiwa kutathmini kikosi chake kabla ya hatua yoyote ya uhakika kufanywa.

Vyanzo vya habari zaidi vinasema kuwa Kaizer Chiefs tayari wameanzisha mawasiliano ya awali na wawakilishi wa Maema ili kuchunguza masharti ya mkataba unaowezekana.

Hata hivyo, hakuna makubaliano yaliyofikiwa na kwa sasa hakuna mazungumzo ya juu kati ya pande zote

Mustakabali wa neo Maema bado upo wazi, huku Afrika Kusini na Tanzania zikiendelea kufuatilia hatua inayofuata katika taaluma yake






Nani amependeza kuliko wenzie hapo🀣🀣🀣?
04/06/2026

Nani amependeza kuliko wenzie hapo🀣🀣🀣?

GONGOWAZI WAMEUMIA VIBAYA MNOOOO MAMAEEE
04/06/2026

GONGOWAZI WAMEUMIA VIBAYA MNOOOO MAMAEEE

04/06/2026

No time for warm ups, just direct to business 🀣🀣

02/06/2026

Nimecheka sana mpaka nimeangusha simu yangu ya samsung ya million mbili nikiwa nimekaa kweny sofa langu la million tatu huku naangalia tv yangu ya lak saba

Siku Ile Yanga Wana tangaza kuanza ujenzi wa uwanja wengi tulipongeza Kwa hatua Ile, na wengi tulipongeza Kwa sababu ya ...
02/06/2026

Siku Ile Yanga Wana tangaza kuanza ujenzi wa uwanja wengi tulipongeza Kwa hatua Ile, na wengi tulipongeza Kwa sababu ya kuhakikishiwa kuwa uwanja unaanza ujenzi kesho yake, tuliona ni kitu chenye uhakika ndiyo sababu tulimpost sana Raisi wa Yanga kumpongeza alionekana ni mtu anaye leta mapinduzi makubwa ya kimpira hapa nchini.

Leo Mwekezaji wa Simba kaachia picha ya basi alilo waahidi Simba, kitu Cha kushangaza Alikamwe akachukua picha hizo na kuandika kuwa "kumbe basi lenyewe Used"

Simba Wana hitaji pongezi Kwa kupata basi hili la Kifahari haijarishi ni used au vipi, ni Bora basi lao lina onekana na siyo la kwenye Laptop.

πŸ† π’πˆπŒππ€ 𝐐𝐔𝐄𝐄𝐍𝐒 𝐀𝐑𝐄 π‚π‡π€πŒππˆπŽππ’! πŸ‡ΉπŸ‡ΏSimba Queens have been crowned the 2025/26 Tanzanian Women’s Premier League champions. H...
31/05/2026

πŸ† π’πˆπŒππ€ 𝐐𝐔𝐄𝐄𝐍𝐒 𝐀𝐑𝐄 π‚π‡π€πŒππˆπŽππ’! πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Simba Queens have been crowned the 2025/26 Tanzanian Women’s Premier League champions.

Hongera kwao. πŸ‘



Mustakabali wa Fiston Mayele bado haujaamuliwa.Wawakilishi wa mshambuliaji huyo wamethibitisha kuwa kuna nia kutoka kwa ...
30/05/2026

Mustakabali wa Fiston Mayele bado haujaamuliwa.
Wawakilishi wa mshambuliaji huyo wamethibitisha kuwa kuna nia kutoka kwa Al Ahly ya kumsajili, ingawa kwa sasa klabu hiyo ya Misri inaweka kipaumbele katika kutafuta mshambuliaji mwenye umri mdogo zaidi.
Iwapo Al Ahly watashindwa kupata wachezaji waliowalenga kwanza, Mayele anaweza kuwa chaguo muhimu na la dhati kwao.
Kwa sasa, nyota huyo wa DR Congo ameweka akili yake yote kwenye Kombe la Dunia la FIFA, na uamuzi kuhusu klabu yake inayofuata unatarajiwa kufanyika baada ya mashindano hayo kukamilika.

Address

Kigamboni

Telephone

+255743322116

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Simba support club tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Simba support club tz:

Share

Category