Flowin vitus

Flowin vitus Journalist, Newswriter &Reporter, RedioPresenter &GraphicDesigner, DigitalContentCreator

Mchezaji wa Timu ya taifa ya Mexico Julian Quinones ameweka rekodi ya kufunga bao la kwanza la ufunguzi kombe la Dunia m...
11/06/2026

Mchezaji wa Timu ya taifa ya Mexico Julian Quinones ameweka rekodi ya kufunga bao la kwanza la ufunguzi kombe la Dunia mwaka 2026 katika mchezo dhidi ya Afrika Kusini.

Quinones amefunga bao hilo leo Juni 11, 2026 kwenye mechi ya ufunguzi dhidi timu ya taifa ya Afrika Kusini mchezo uliopigwa katika dimba la Mexico city Nchini Mexico.

Ikumbukwe katika mashindano ya kombe la Dunia kwa mwaka 2010 Afrika Kusini ilicheza mchezo wa ufunguzi dhidi ya Mexico, mchezo uliotamatika kwa sare ya 1-1 kwa upande wa mfungaji wa goli la kwanza katika michuano hiyo alikuwa ni Siphiwe Tshabalala kutoka Afrika Kusini huku bao la kusawazisha likifungwa na Rafael Márquez.

Star wa muziki kutoka Nigeria     usiku wa leo mei 11, 2026 ameshare jukwaa moja na Shakira  kwenye ufunguzi wa Fainali ...
11/06/2026

Star wa muziki kutoka Nigeria usiku wa leo mei 11, 2026 ameshare jukwaa moja na Shakira kwenye ufunguzi wa Fainali za Kombe la Dunia nchini Mexico.

Umeionaje Burudani kwa ujumla kutoka kwao...??

Mexico

11/06/2026

Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (2015–2025) Kassim Majaliwa ni miongoni mwa viongozi waliohudhuria na kutambulishwa wakati wa uwasilishaji wa mapendekezo ya Bajeti ya Serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2026/2027 Bungeni jijini Dodoma.

Klabu ya Real Madrid C.F. iko katika mazungumzo ya hatua za mwisho kumsajili Bernardo Silva kutoka Manchester City.Real ...
11/06/2026

Klabu ya Real Madrid C.F. iko katika mazungumzo ya hatua za mwisho kumsajili Bernardo Silva kutoka Manchester City.

Real Madrid imeingia ghafla kwenye rada za kumsaka nyota huyo Mreno huku Pendekezo rasmi tayari limetumwa ili kumnasa nyota huyo, huku José Mourinho akiridhia mpango huo moja kwa moja.

Ikumbukwe Bernardo Silva ananyemelewa na klabu mbalimbali ili kuinasa saini yake zikiwemo klabu za Barcelona na Atlético Madrid.

Klabu ya Young Africans Sports Club imefikia makubaliano ya kuachana na mlinzi wa kulia Israel Mwenda kwa kuvunja mkatab...
11/06/2026

Klabu ya Young Africans Sports Club imefikia makubaliano ya kuachana na mlinzi wa kulia Israel Mwenda kwa kuvunja mkataba wake wa miaka mitatu.

Duru zilizojiri kutoka menejimenti ya Israel Mwenda ni kwamba beki huyo Mtanzania anakaribia kujiunga na klabu ya Singida Black Stars kuelekea msimu ujao.

Ni sahihi kwa yanga kuachana na Mwenda....?

11/06/2026
Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo amepoteza katika pambano round 12 la uzito wa middleweight dhidi ya mpinzani kutoka Ivo...
11/06/2026

Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo amepoteza katika pambano round 12 la uzito wa middleweight dhidi ya mpinzani kutoka Ivory Coast anayefahamika k**a Michel Soro kwa kupigwa kwa TKO round ya 9 wakati wa kuwania mkanda wa IBO.

Katika historia ya Mwakinyo hili linakuwa pambano la 4 Moja akipigwa kwa point na matatu kwa KO, na kufanya Nyota huyo kutoka Tanzania kufikisha mapambano matatu kuwahi kupoteza kwa KO.

Michel Soro leo amepigana pambano lake la 45, na amefanikiwa kushinda kwa KO kwa mara ya 28, akipoteza mara 4 na ametoka sare mara 2.

Mechi ya Kirafiki.FT: Portugal 2️⃣-1️⃣ Nigeria⚽️ P. Neto 23'⚽️ F. Conceição 75'⚽️ A. Adams 37'
11/06/2026

Mechi ya Kirafiki.

FT: Portugal 2️⃣-1️⃣ Nigeria
⚽️ P. Neto 23'
⚽️ F. Conceição 75'

⚽️ A. Adams 37'

10/06/2026

Vita ya kuondoka kwa wazazi ni ngumu ndugu zangu.........

Address

Iringa

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Flowin vitus posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share