Beka Maujuz Jr

Beka Maujuz Jr Report from Beka hapa ntakuletea Habari za michezo ulimwenguni kote inbox uje na faida😎

Nahodha wa zamani wa Liverpool amesajiliwa k**a mchezaji mpya wa Chelsea akiwa na umri wa miaka 36 kwa kandarasi ya miak...
03/08/2026

Nahodha wa zamani wa Liverpool amesajiliwa k**a mchezaji mpya wa Chelsea akiwa na umri wa miaka 36 kwa kandarasi ya miaka miwili hadi Juni 2028, anatakiwa na Xabi 🫱🏻‍🫲🏼

15/08/2024

Atletico Madrid wamesimamia dau lao la Euro Milioni 60 kumuachia Joao Felix kwenda Chelsea

Cc Ernesto cruz

🚨 WYDAD CASABLANCA WAKWAMA KWA FEI TOTOKlabu ya Azam FC imewaambia Wydad Casablanca kuwa nyota wao Feisal Salum hauzwi k...
15/08/2024

🚨 WYDAD CASABLANCA WAKWAMA KWA FEI TOTO
Klabu ya Azam FC imewaambia Wydad Casablanca kuwa nyota wao Feisal Salum hauzwi kwa dau lolote licha ya Wydad kuwataarifu kuwa walikuwa tayari kutoa Bilioni 1.2

Feisal Salum amekuwa na kiwango bora tangu msimu uliopita akifunga mabao 19 na kusaidia mabao mengi kwa klabu yake ya Azam FC kwenye ligi Kuu na kocha Rulani alitoa pendekezo la nyota huyo kusainiwa lakini Azam waliipiga chini mapema.

Katika hatua nyingine klabu hiyo ya Morocco inangoja jibu la Azam FC kuhusu beki wao Yeison Fuentes na mshambuliaji Jhonier raia wa Colombia ili kuona k**a wanaweza kufanikisha sajili zao.

Cc Badman junior

🚨 AC Milan wanauchukulia mkataba mpya wa Kevin Zeroli kuwa uko karibu, ikiwa ni muda tu kabla ya kusainiwa.Mazungumzo na...
28/03/2024

🚨 AC Milan wanauchukulia mkataba mpya wa Kevin Zeroli kuwa uko karibu, ikiwa ni muda tu kabla ya kusainiwa.

Mazungumzo na wakala wake Rafaela Pimenta yalisababisha makubaliano hayo kwa kanuni wiki mbili zilizopita, kusubiri maelezo ya mwisho

🇸🇳 Beki wa Akademi ya Barca Mikayil Faye ameanza mechi yake ya kwanza kwa Senegal usiku wa kuamkia leo...✍️…na alifunga ...
23/03/2024

🇸🇳 Beki wa Akademi ya Barca Mikayil Faye ameanza mechi yake ya kwanza kwa Senegal usiku wa kuamkia leo...✍️

…na alifunga katika mechi yake ya kwanza ya kuichezea timu ya taifa kwa bao zuri akicheza k**a beki wa kati! ✍️

Faye bado hajacheza mechi yake ya kwanza Barca lakini tayari anachezea Senegal✍️

23/03/2024

🗞️ Bukayo Saka sasa amejiondoa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Uingereza,

Saka, aliondolewa kwenye mechi za kirafiki za Uingereza wiki moja tu kabla ya mchezo wa Arsenal na Man City kwani

09/03/2024

Mtu kainga anga za Bayern Munich uko kapigwa k**a ngoma😃

Address

Majohe
Ilala

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Beka Maujuz Jr posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Beka Maujuz Jr:

Shortcuts

Share

Category