African Sports

African Sports PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA.

29/06/2024

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! George Emmanuell, Elias Mnubi, Shabani Shabani Hamry, Fred Mwanguku, Lucky Leeking, Ifunya Harryson, Barick Mwasile, Joel Kalwana, Bigboy Vester

.... Hawa Singida Big stars mbona k**a wamekamia hivi !!! nataka nijue scouting yao nani anayeiongoza maana sio poa ๐Ÿ™ŒNim...
27/08/2022

.... Hawa Singida Big stars mbona k**a wamekamia hivi !!! nataka nijue scouting yao nani anayeiongoza maana sio poa ๐Ÿ™Œ

Nimeenda YouTube huyu Escobar ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ท ni fundi wa boli aisee !! ๐Ÿ™Œ

Na wewe nenda youtube kwa kugusa link hapo chini alafu uje tumjadili

https://youtu.be/ZpAjAt6PA28

Klabu ya Simba SC itacheza mechi tatu{3} za kimataifa za kirafiki mechi hizo Ni dhidi yaโšฝ SIMBA SC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ†š ASANTE KOTOKO๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ญ๐Ÿ“†...
23/08/2022

Klabu ya Simba SC itacheza mechi tatu{3} za kimataifa za kirafiki mechi hizo Ni dhidi ya
โšฝ SIMBA SC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ†š ASANTE KOTOKO๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ญ
๐Ÿ“†28/08/2022 Sudan ๐Ÿ‡ฏ๐Ÿ‡ด

โšฝALHILAL ๐Ÿ‡ฏ๐Ÿ‡ด ๐Ÿ†š SIMBA SC๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
๐Ÿ“†31/08/2022 Sudan ๐Ÿ‡ฏ๐Ÿ‡ด

โšฝ SIMBA SC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ†šAS ARTASOLAR ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฏ
๐Ÿ“†03/09/2022 Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Droo ya klabu bingwa barani Africa na kombe la Shirikisho inafanyika leo.Klabu za Simba, Yanga, Azam na Geita leo zitawa...
09/08/2022

Droo ya klabu bingwa barani Africa na kombe la Shirikisho inafanyika leo.

Klabu za Simba, Yanga, Azam na Geita leo zitawajua wapinzani wao ambao watachuana nao katika hatua ya awali

-Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa mshambuliaji Cesar Lobi Manzoki raia wa Afrika ya kati mwenye asili ya DR Con...
28/06/2022

-Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa mshambuliaji Cesar Lobi Manzoki raia wa Afrika ya kati mwenye asili ya DR Congo. Manzoki mwenye umri wa miaka 25 amesaini mkataba wa miaka miwili kwa dau la dola 120,000 (Zaid ya milioni 270 za kitanzania) k**a ada ya usajili na mshahara wa Dola 8000 (zaidi ya milioni 18 za kitanzania) kwa mwezi)

๐ŸšจRASMI: Klabu ya Simba SC imetangaza kukamilisha usajili wa Mshambiliaji wa kimataifa wa Zambia ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ Moses Phiri.โœ๏ธS P O R...
15/06/2022

๐ŸšจRASMI: Klabu ya Simba SC imetangaza kukamilisha usajili wa Mshambiliaji wa kimataifa wa Zambia ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ Moses Phiri.
โœ๏ธS P O R T N E

RASMI : Klabu ya Al Ahly Sc imethibitisha kuachana na kocha wao mkuu Pitso Mosimane ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆTakwimu zake akiwa na timu hiyo ๐Ÿ“ŠM...
13/06/2022

RASMI : Klabu ya Al Ahly Sc imethibitisha kuachana na kocha wao mkuu Pitso Mosimane ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ

Takwimu zake akiwa na timu hiyo ๐Ÿ“Š

Mechi: 97
Kushinda: 65
Kupoteza: 10
Sare: 22

CAF Champions League ๐Ÿ†๐Ÿ†
CAF Super Cup ๐Ÿ†๐Ÿ†
Egypt Cup ๐Ÿ†
Bronze Medal Club World Cup ๐Ÿฅ‰๐Ÿฅ‰

Klabu ya Yanga imekamilisha usajili wa Mshambiliaji wa kimataifa wa Zambia ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ Lazarus Kambole .Kambole atajiunga na Yang...
12/06/2022

Klabu ya Yanga imekamilisha usajili wa Mshambiliaji wa kimataifa wa Zambia ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ Lazarus Kambole .
Kambole atajiunga na Yanga K**a Mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na Kaizer Chiefs ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ.
Source"'Sport Center"'

Klabu ya Yanga Sc ipo kwenye mazungumzo na wakala wa winga wa Klabu iyo Farid Musa ili kutaka kumuongezea mkataba mpya m...
24/05/2022

Klabu ya Yanga Sc ipo kwenye mazungumzo na wakala wa winga wa Klabu iyo Farid Musa ili kutaka kumuongezea mkataba mpya mchezaji uyo.
Source"' Tanzania Sport Today"'

13/05/2022

-Klabu ya DTB FC iliyopanda ligi kuu ya NBC imekamilisha usajili wa golikipa wa klabu ya Polisi Tanzania Metacha Mnata kwa mkataba wa miaka miwili. Metacha atajiunga na DTB mwisho wa msimu huu k**a mchezaji huru baada ya mkataba wake na Polisi Tanzania kuisha.

Source"Sport news"

๐Ÿšจ Kocha mkuu wa Klabu ya RS Berkane ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ Florent Ibenge ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ amepata ajali mbaya ya gari akiwa anaelekea nyumbani akitokea m...
26/04/2022

๐Ÿšจ Kocha mkuu wa Klabu ya RS Berkane ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ Florent Ibenge ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ amepata ajali mbaya ya gari akiwa anaelekea nyumbani akitokea mazoezini amevunjika mara mbili mguuni.
๐ŸšจGet well soon ๐Ÿ™๐Ÿ™
"Source Sport news"

Klabu ya Yanga SC itawakosa Wachezaji wafuatao Kwenye mchezo wa kesho dhidi ya Azam FC๐ŸŽ–๏ธKhalid Aucho๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ _ Injury๐ŸŽ–๏ธFeisal ...
05/04/2022

Klabu ya Yanga SC itawakosa Wachezaji wafuatao Kwenye mchezo wa kesho dhidi ya Azam FC
๐ŸŽ–๏ธKhalid Aucho๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ _ Injury
๐ŸŽ–๏ธFeisal Salum ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ_ Injury
๐ŸŽ–๏ธFarid M***a ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ_ Homa
๐ŸŽ–๏ธYanick Bangala ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ 50/50_ Alipata majeraha mazoezini.

Address

Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when African Sports posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to African Sports:

Share