Bongosoka

Bongosoka Habari zote za soka la bongo na wachezaji wake . Ratiba , matokeo , msimamom wa ligi kuu na wafungaji bora . Pia maisha ya wachezaji na makala utazipata.

Yanga isajili wachezaji hawa..(soma hapa).
02/04/2020

Yanga isajili wachezaji hawa..(soma hapa).

Msimu wa ligi kuu ya soka Tanzania Bara ukiwa umesimama kwa siku 30 kutokana na usambaaji wa Corona, klabu mbalimbali Soma Zaidi...

Hizi ndizo klabu maarufu zaidi Duniani.. (soma hapa)
30/03/2020

Hizi ndizo klabu maarufu zaidi Duniani.. (soma hapa)

Kila klabu imekuwa na utamaduni wake, historia na pia aina ya uchezaji soka ambavyo vyote kwa pamoja vimekuwa vikiwavutia mashabiki Soma Zaidi...

Ripoti ya kocha na mtego wa Simba kwa Mwamnyeto...(soma hapa).
30/03/2020

Ripoti ya kocha na mtego wa Simba kwa Mwamnyeto...(soma hapa).

Baada ya ligi kusimama kwa siku 30 kutokana na tahadhari ya usambaaji wa virusi vya Corona, kocha wa klabu ya Soma Zaidi...

Hizi ndizo sababu za mgongano wa viongozi Yanga.. (soma hapa)
28/03/2020

Hizi ndizo sababu za mgongano wa viongozi Yanga.. (soma hapa)

Siku ya jana jumla ya viongozi watano (5) wa klabu ya soka ya Yanga, walitoka katika nafasi zao. Kati ya Soma Zaidi...

Unamkumbuka Marc-vivien Foe ?, heshima yake inadumu Man City .. Tujikumbushe kidogo (soma hapa chini)...
26/03/2020

Unamkumbuka Marc-vivien Foe ?, heshima yake inadumu Man City .. Tujikumbushe kidogo (soma hapa chini)...

Dunia inakumbuka huyu mwamba kwa ukabaji wake wakutumia nguvu na akilili, umbo lake lenye misuli mingi iliwapa taabu viungo wengi Soma Zaidi...

Tshishimbi atajwa Simba, avurugana na Yanga na picha nzima iko hivi (soma hapa chini)...
25/03/2020

Tshishimbi atajwa Simba, avurugana na Yanga na picha nzima iko hivi (soma hapa chini)...

Imeripotiwa kwamba, klabu ya soka ya Simba iko katika nafasi ya nzuri ya kumtwaa kiungo mkabaji na nahodha wa klabu Soma Zaidi...

Soma Barua yote ya GSM wakifunguka kujiondoa Yanga hii hapa...
25/03/2020

Soma Barua yote ya GSM wakifunguka kujiondoa Yanga hii hapa...

Wadhamini wa klabu ya soka ya Yanga, kampuni ya GSM, imeandika barua ya kujiondoa katika majukumu ya kuisaidia timu hiyo Soma Zaidi...

Nyota watano wa Arsenal wanaotajwa kutemwa hawa apa... Ronaldo akili yote Man Utd, PSG.. somza zaidi..
24/03/2020

Nyota watano wa Arsenal wanaotajwa kutemwa hawa apa... Ronaldo akili yote Man Utd, PSG.. somza zaidi..

Ligi mbalimbali duniani, zimesimama kutokana na madhara yanayoendelea kuzikumba nchi mbalimbali duniani kutokana na usambaaji wa virusi vya Corona, ugonjwa Soma Zaidi...

wafahamu nyota wa soka wanaolipwa mshahara mkubwa zaidi England.
23/03/2020

wafahamu nyota wa soka wanaolipwa mshahara mkubwa zaidi England.

Ligi kuu ya soka ya England, ni ligi yenye umaarufu mkubwa pengine kuliko ligi yoyote barani Ulaya na duniani, kwa Soma Zaidi...

Ligi ya England imekuwa ni moja kati ya ligi bora na pendwa kutokana na namna ambavyo imekuwa ikifuatiliwa Zaidi na watu...
21/03/2020

Ligi ya England imekuwa ni moja kati ya ligi bora na pendwa kutokana na namna ambavyo imekuwa ikifuatiliwa Zaidi na watu wengi ulimwenguni. Ligi hii imetoa makocha bora, wachezaji bora, timu bora na nyuma ya hayo yote huwa kunakuwepo viongozi bora, nadni ya timu tunawagusia Zaidi manahodha. Hawa ndio manahodha bora zaidi ambao wamewahi kuongoza timu zinazoshiriki ligi kuu ya England, maarufu k**a EPL. [ 548 more words ]

Ligi ya England imekuwa ni moja kati ya ligi bora na pendwa kutokana na namna ambavyo imekuwa ikifuatiliwa Zaidi na Soma Zaidi...

Ligi ya England imekuwa ni moja kati ya ligi bora na pendwa kutokana na namna ambavyo imekuwa ikifuatiliwa Zaidi na watu...
21/03/2020

Ligi ya England imekuwa ni moja kati ya ligi bora na pendwa kutokana na namna ambavyo imekuwa ikifuatiliwa Zaidi na watu wengi ulimwenguni. Ligi hii imetoa makocha bora, wachezaji bora, timu bora na nyuma ya hayo yote huwa kunakuwepo viongozi bora, nadni ya timu tunawagusia Zaidi manahodha. Hawa ndio manahodha bora zaidi ambao wamewahi kuongoza timu zinazoshiriki ligi kuu ya England, maarufu k**a EPL. [ 542 more words ]

Mnahodha bora EPL. Yupi nahodha wako bora zaidi katika historia ya ligi ya Uingereza ?

Wachezaji wa zamani wa Arsenal na kisa cha kufukuzwa Uswis..
21/03/2020

Wachezaji wa zamani wa Arsenal na kisa cha kufukuzwa Uswis..

Klabu ya soka ya FC Sion ya nchini Uswisi, imewafukuza wachezaji tisa, ikiwa ni pamoja na nyota wawili, Alex Song Soma Zaidi...

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bongosoka posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Bongosoka:

Share

Category