14/04/2026
"Sina kinyongo chochote na Loemba kwa madhambi yaliyojitokeza kwa sababu naye alikua anatimiza majukumu yake Uwanjani
"Kwa hiyo ilitokea tu k**a sehemu ya mchezo, pia Loemba alinifuata na akaniomba radhi kwa hiyo nilichukulia kua ilitokea tu kwa bahati mbaya "__||๐ Dickson Job
Ni juu ya majeraha aliyoyapata nahodha wa Yanga Dickson Job kwenye mchezo wa Derby.