19/02/2026
HATUCHEZI REMIX?
Klabu ya Simba inapanga kukataa kwenda Zanzibar kwa sababu ALI KAMWE alitangaza kwanza kabla ya Bodi na muda haupo kikanuni.
SIMBA amebadilishiwa mechi 7 ndani ya siku 7 kabla ya mchezo uwanja.
Kuna mechi na Tabora United Siku 3 kabla Uwanja ukabadilishwa.Je huyu Mzee wa Transformation hakujua kuwa Kuna Siku 21?
NLIWAAMBIA HAWA HAWAWEZI KWENDA ZANZIBAR ULE UWANJA WALIULAANI KABLA NA BAADA YA MECHI NA BERKANE.
Na haitatokea Ule uwanja ukawapa matokeo Simba mazuri mpaka wauombe Msamaha.Mapinduzi keshapigwa pale na Azam Tayari anzeni kuhesabu.
๐ฅ๐ฅ๐๐