08/06/2026
Divock Origi ametangaza kuwa ametimiza malengo yake katika soka baada ya kutimiza ndoto zake za utotoni, kucheza kwenye viwanja vikubwa duniani na kushinda mataji makubwa.
Katika ujumbe wake wa kuaga, Origi amewashukuru Mungu, mashabiki, vilabu alivyovitumikia, wachezaji wenzake na familia yake kwa mchango wao katika safari yake ya mafanikio.
"Safari imekamilika. Sasa ninaanza hatua mpya ya maisha yangu," amesema Origi, akionyesha kuwa anafunga ukurasa mmoja wa maisha yake na kuanza mwingine.
Asante kwa kila kitu, shujaa wa Anfield. ❤️