14/06/2026
🚨Real Madrid wamefikia makubaliano na Chelsea kumsajili beki wa kushoto Marc Cucurella.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 ataungana na miamba hiyo ya Hispania kwa ada ya €60 milioni (€55 milioni za awali pamoja na €5 milioni k**a bonasi zinazotegemea mafanikio.)
Nyota huyo wa timu ya taifa ya Hispania amekamilisha makubaliano kwa haraka, na hatua inayofuata sasa ni kukamilisha nyaraka rasmi za usajili kabla ya kutangazwa rasmi na Real Madrid. ⚪🇪🇸🔥