07/04/2024
Tarehe 27/1/1960 alizaliwa kitofuvu cha maendeleo na mwanasiasa huru huko visiwani mwenye ndoto kubwa na maono ya kuivusha tanzania nchi ya ahadi akukata tamaa na akusita kuchukua maamuzi aliweka vipaumbele vyake ambavyo ni ukweli,uwazi na uwajibikaji je wajua alifanya nini na alipita vipi kufikisha tanzania nchi ya ahadi?
UKWELI NI NINI
ni usahihi wa jambo fulani au taarifa fulani tunaona Dr Samia suluhu hassan alivyokuwa mkweli na mtimivu wa ahadi na utendaji wake serikalini mfano sekta ya elimu ameahidi na kutimiza kwa kujua hakuna nchi inayosonga mbele bila elimu na kuboresha shule na kujengwa shule mpya ambazo zitasaidia watoto wa kitanzania kupata elimu na kuweza kupiga atua za maendeleo shule zilizoboreshwa k**a ufundi mtwara sekondari, ruvu sekondari, tabora wavulana na nyingine zaidi ya 84 akuishia hapo aliahidi atawaongezea wanafunzi wa ngazi za juu kuwa pesa ya kujikimu kutoka 8500 mbaka 10000 na kuwarudisha shule watoto wa k**e ambao wamerudishwa shule kwa sababu ya kupata mimba na n.k ila Dr samia suluhu hassan amesimamia ukweli ndani yake
Itaendelea........