Sports VENUE

Sports VENUE pata habari za michezo mbalimbali soka ,ngumi ,gofu , mpira wa pete

Nashukuru kwa wote mliokuwa pamoja na mimi wakati wote tangu nilipoanza kazi hii hadi imefika tamatiHakika Mungu ni mwem...
22/02/2021

Nashukuru kwa wote mliokuwa pamoja na mimi wakati wote tangu nilipoanza kazi hii hadi imefika tamati

Hakika Mungu ni mwema sana kwangu hatimaye imekwisha

MUNGU WETU SOTE

Mama told me Martin  tell them about the dream final the dream come true thank you Mama
19/02/2021

Mama told me Martin tell them about the dream

final the dream come true thank you Mama

Guns n RosesTARISHI
12/02/2021

Guns n Roses

TARISHI

Tizama sasa ya kale yamepita na yamekuwa mapya
11/02/2021

Tizama sasa ya kale yamepita na yamekuwa mapya

NUNDA MZEENA MARTIN MAZUGWAKitu kilichowastaajabisha si kwasababu vilikataliwa na kila mtu la hasha bali ni  jinsi viliv...
09/02/2021

NUNDA MZEE

NA MARTIN MAZUGWA

Kitu kilichowastaajabisha si kwasababu vilikataliwa na kila mtu la hasha bali ni jinsi vilivyokuwa vimefungwa kwa ustadi mkubwa na mmiliki wake ambaye hadi wakati huo alikuwa hajajulikana.

Kilichowashtua wengi ni jinsi viroba hivyo vivyokuwa na muonekano k**a maiti iliyoviringishwa ndani ya sanda na tayari kwa kuzikwa.

Jambo hilo liliwagutusha wavuvi hao ambao baadhi wakakata shauri na kutaka kuvifungua viroba hivyo kujionea kilichomo ndani, lakini Mzee Masanja Bundala, ambaye ni mkongwe katika kazi ya uvuvi akawaonya vijana hao ambao tayari walianza kutafuta kisu ilikukata kamba.

Mzee Bundala ambaye ni mzaliwa wa Shinyanga, katika Wilaya ya Kahama ambaye aliondoka huko kuukimbia ukata alikuja jijini Dar es Salaam, kutafuta maisha kutokana na magumu aliyokutana nayo huko alikotoka.

Baada ya kutafuta kazi katika viwanda na taasisi mbalimbali za kiserikali na zile za watu binafsi bila mafanikio ndipo akaangukia katika kazi ya uvuvi ambayo alianza kuifanya tangu miaka ya 1980.

Kwa miaka yote hiyo mzee alikuwa mtu wa kutwa kucha baharini akisaka samaki kwaajili ya kitoweo cha yeye na familia yake ambayo ilikuwa na watoto wawili wa k**e na kiume ambao alibaki nao baada ya mkewe kufariki.

Hivyo aliijua vyema bahari na tabia zake kutokana na kupitia maswahibu mengi ndio maana aliwaonya vijana kuacha haraka kukurupukia jambo ambalo wamepata kuliona kwa mara ya kwanza.

Baada ya kuwasihi kuacha papara katika jambo geni vijana hao wanaamua kutulia na kufuata busara za mzee huyo ambaye alikuwa akiheshimika sana kutokana na busara zake.

***

IKIWA ndio kwanza asubuhi purukushani zilikuwa zikiendelea katika kituo kidogo cha Polisi cha Kawe kilichopo Ukwamani, askari waliokuwa wakiingia kazini wengine walianza kutoka baada ya kumaliza lindo la usiku.

Hii ni zawadi tunakupa ukale utukumbuke Waogope sana watu wenye kauli hii
09/02/2021

Hii ni zawadi tunakupa ukale utukumbuke

Waogope sana watu wenye kauli hii

Ni upendo huvumilia  yote Hauna kisasi na husamehe yoteHaijalishi utapungukiwa na kupoteza vyoteTumeagizwa upendo tuusam...
05/02/2021

Ni upendo huvumilia yote
Hauna kisasi na husamehe yote
Haijalishi utapungukiwa na kupoteza vyote
Tumeagizwa upendo tuusambaze dunia yote

Mapendo daima
TARISHI
MUNGU WETU SOTE

Tumeagizwa upendo Mapendo daima If i die don't cry look at the sky and say goodbyeMUNGU WETU SOTE
03/02/2021

Tumeagizwa upendo
Mapendo daima

If i die don't cry look at the sky and say goodbye

MUNGU WETU SOTE

Asante sana kwa wale wote ambao wamekuwa wakiniombea na kunisapoti bila kuchoka asante kwa upendo wenu kwanguBaada kuish...
02/02/2021

Asante sana kwa wale wote ambao wamekuwa wakiniombea na kunisapoti bila kuchoka asante kwa upendo wenu kwangu

Baada kuishi na mzigo mzito kwa zaidi ya miaka nane Leo nimeutua mzigo huo asante mwenyezi Mungu kwa kuniweka huru.

Free at last
free at last
free at last
Thank you almighty God am free at last

Mwaka 2o17 nilianza kuwa karibu yake Galacha...Mwaka huo  akaniamini na kunipa nafasi ya kuandika kitabu cha maisha yake...
25/01/2021

Mwaka 2o17 nilianza kuwa karibu yake Galacha...

Mwaka huo akaniamini na kunipa nafasi ya kuandika kitabu cha maisha yake...

2021 kazi uliyonipa imefika ukingoni sio kwamba Mimi ni bora sana la hasha ni imani yako kwangu

Asante kwa heshima hii RASHID MATUMLA ' SNAKE BOY

GODABOVEALL

Wakati mwingine tunatumia nguvu kubwa kujikosea wenyewe ili kuwaridhisha wale wanaotuzunguka ...K**a hiyo haitoshi tunap...
12/01/2021

Wakati mwingine tunatumia nguvu kubwa kujikosea wenyewe ili kuwaridhisha wale wanaotuzunguka ...

K**a hiyo haitoshi tunapambana kuwapa tabasamu wengine ili hali ndani ya mioyo yetu tunavuja damu...

Kumbuka huwezi kuwa mwema kwa kila mtu kulazimisha kuwafurahisha watu wengi ni sawa na kumwaga sukari baharini na kusubiri chai iliyokolea sukari....

Nilipokua kijana mdogo Wazazi wangu waliwahi kuniambia kuwa ipo siku  nitasafiri nilicheka sana...Lakini wao walicheka m...
08/01/2021

Nilipokua kijana mdogo Wazazi wangu waliwahi kuniambia kuwa ipo siku nitasafiri nilicheka sana...

Lakini wao walicheka mara mbili kisha wakacheka tena mara ya tatu kwa nguvu...

Laiti k**a ningejua maana ya kicheko chao ningeudhihirishia umma kuwa ridhiki ni k**a ajali hautambui siku ya kuja..

NATAMANI KUWA MTOTO

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sports VENUE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share