29/04/2024
๐ดโช ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Siyo Rahisi kihivyo kuachia silaha ikatumike na Adui.
Hapo Mwanzo nilitoa Taarifa Chama kuwa kasaini mkataba wa awali Yanga.Kitu ambacho nataka kuwafungua Akili hapa ni kwamba mkataba wa awali kwa wachezaji huwa Ni njia yakujihami endapo ataachwa basi Mchezaji asikose Timu ya kwenda kucheza
Rasmi nawakikishia kuwa Cloutus Chama atasaini Simba mkataba wa Miaka miwili kwadau la milioni 300, Cloutus Chamab alipigiwa simu na Moe Dewji na kumomba wakutane Ofisini kwake, Huko walifanya mazungumzo kuhusu Kusaini Mkataba mpya, Cloutus Chama alikubali kusani mkataba Huo.Hivi Karibuni Mwamba wa Lusaka Atasaini mkataba kuendelea kusalia Msimbazi..
าแดสสแดแดก Soka leo kwa habari zaidi