02/04/2022
Manchester united ni timu kubwa kibiashara na sio kiufundi
Ukitazama leo ilivyokuwa ikicheza unaweza kusema ni k**a Leister city ndio walikuwa. Nyumbani then ,Man u ipo A way... Performance mbovu sana.aikustahili Ushindi wowote siku ya leo
Ukinambia bado kuna matumaini ya 🔝 4 sidhani k**a nitakusikiliza tena. Wachezaji wote fitness yao aiko sawa ndani ya uwanja.