04/02/2025
📣 Chelsea imemsaini Mathis Amougou mwenye umri wa miaka 19 kwa mkataba wa miaka 8.
Mkataba wa kitita cha €15m ulikamilika jana na St Etienne. Kiungo huyo Mfaransa wa U20 anajiunga na Chelsea.
Chelsea inakusudia kumtoa kwa mkopo katika klabu ya Strasbourg msimu ujao huku Andrey Santos akirejea London.
Amougou anaonekana k**a kijana mwenye kipaji na anatarajiwa kuwa sehemu ya kawaida ya kikosi cha Chelsea kuanzia msimu wa 2026/2027.