20/07/2026
ππ
π
πππππ: Klabu ya Young Africans SC imethibitisha kukamilisha usajili wa mlinzi wa Kulia Abdulnassir Assa 'Gamal' kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Mashujaa FC ya Mkoani Kigoma.
Mbali na nafasi ya beki wa kulia nyota huyo pia anamudu kucheza k**a winga ya kulia ya kupanda na kushuka.