Mabina sports update

Mabina sports update Michezo

πŽπ…π…πˆπ‚πˆπ€π‹: Klabu ya Young Africans SC imethibitisha kukamilisha usajili wa mlinzi wa Kulia Abdulnassir Assa 'Gamal' kwa m...
20/07/2026

πŽπ…π…πˆπ‚πˆπ€π‹: Klabu ya Young Africans SC imethibitisha kukamilisha usajili wa mlinzi wa Kulia Abdulnassir Assa 'Gamal' kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Mashujaa FC ya Mkoani Kigoma.

Mbali na nafasi ya beki wa kulia nyota huyo pia anamudu kucheza k**a winga ya kulia ya kupanda na kushuka.

πŽπ…π…πˆπ‚πˆπ€π‹: Klabu ya Bayern Munich imethibitisha kumsainisha kiungo kiraka, Konrad Laimer raia wa Austria nyongeza ya mkat...
20/07/2026

πŽπ…π…πˆπ‚πˆπ€π‹: Klabu ya Bayern Munich imethibitisha kumsainisha kiungo kiraka, Konrad Laimer raia wa Austria nyongeza ya mkataba mpya utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2029.

DEAL DONEKlabu ya young africans sc imemtambulisha rasmi mshambuliaji Hussein Mihambo(19) kutoka mashujaa Fc.
20/07/2026

DEAL DONE

Klabu ya young africans sc imemtambulisha rasmi mshambuliaji Hussein Mihambo(19) kutoka mashujaa Fc.

DEAL DONEKlabu ya simba sc imemtambilisha rasmi beki Nathaniel chilambo kutoka azam fc.
20/07/2026

DEAL DONE

Klabu ya simba sc imemtambilisha rasmi beki Nathaniel chilambo kutoka azam fc.

klabu ya simba sc imemtangaza rasmi Steve Barker kuwa kocha wao mkuu  atakaekiongoza kikosi icho cha msimbazi
19/12/2025

klabu ya simba sc imemtangaza rasmi Steve Barker kuwa kocha wao mkuu atakaekiongoza kikosi icho cha msimbazi

Bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba Sc imekutana leo Alhamisi Desemba 18, 2025 kwa ajili ya kikao cha kujadili mambo m...
18/12/2025

Bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba Sc imekutana leo Alhamisi Desemba 18, 2025 kwa ajili ya kikao cha kujadili mambo mbalimbali kuhusu klabu hiyo kikiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo, Crescentius Magori.

Afisa Mtendaji Mkuu (CEO), Zubeda Hassan Sakuru na Mwenyekiti wa klabu hiyo, Murtaza Mangungu ni miongoni mwa waliohudhurua kikao sambamba na wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi akiwemo Barbara Gonzalez.

Address

Tabata
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mabina sports update posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share