29/08/2026
Klabu ya Simba SC imethibitisha rasmi kuachana na kiungo wao wa kati, Allasane Kante, ambaye alikuwa mmoja wa wachezaji waliotamba na kikosi hicho katika msimu uliopita.
Kante amehitimisha maisha yake ya Msimbazi baada ya kuitumikia timu hiyo kwa msimu mmoja tu.
Weka comment hapa chini...