27/05/2026
Mbinguni kunawatu wanadhani tunaenda kwakwenda kanisani wakati wapo wanaenda kwa mazoea na kuwaridhisha watu kwamba waone kwamba unaendaga kanisani kwahiyo unakuta watu wengi wanajazana makanisani lakini Hawana uhalisia wa mtu aliemfata Mungu k**asehemu ya kuongea na Mungu.
Ebu niulize wewe unaendaga kwenye nyumba ya Mungu ukiwa na msingi gani?.....
(a)K**a mtoko wa siku kwasababu huna pa kwenda.
(b)Kuwaridhisha wazazi au ndugu kwasababu wanafurahi na wanataka uwe Unaenda kanisani
(c)Unaenda kuzungumza na Muumba wako na kumpa haja zako na kutaka majibu Yako pamoja kumshukuru na kumwomba Mungu.
(d)Unaenda kwasababu ni wajibu au unaipambania dini?...
(e)Unaenda kwasababu unataka mchumba au mke
(f) Kwasababu ndio safari ya Mbinguni na kuishi kwa tumaini la Uzima