Tanzania citizens - "man city"

Tanzania citizens - "man city" OFFICIALS MAN CITY SWAHILI SUPPORTERS CLUB TANZANIA

Manchester City tutakutana na Chelsea katika mchezo wa Fainal ya kombe la FA Cup. //
26/04/2026

Manchester City tutakutana na Chelsea katika mchezo wa Fainal ya kombe la FA Cup.

//

Ruben Dias,  Hatakuwepo katika kikosi cha Manchester City kitakacho pambana dhidi ya Arsenal jumapili hii.... na atakuwa...
17/04/2026

Ruben Dias, Hatakuwepo katika kikosi cha Manchester City kitakacho pambana dhidi ya Arsenal jumapili hii.... na atakuwa nje kwa wiki mbili zijazo.

Wafanyakazi wa Manchester City wamefichua kuwa beki huyo hatarajiwi kurejea kwa wakati na wanaami atakosekana kwa mwezi huu wote.

//

πŸ“Έ Picha kutoka kwenye mazoezi yetu ya jana ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Arsenal.Kila mchezaji ameonekana akiwa na fur...
17/04/2026

πŸ“Έ Picha kutoka kwenye mazoezi yetu ya jana ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Arsenal.

Kila mchezaji ameonekana akiwa na furaha usoni.

//

MECHI YETU IJAYO:πŸ†šοΈ Arsenal πŸ† Ligi Kuu England 🏟 Etihad Stadium ⏰ Saa 12:30 jioniπŸ—“ 19/4/2026  //
16/04/2026

MECHI YETU IJAYO:

πŸ†šοΈ Arsenal
πŸ† Ligi Kuu England
🏟 Etihad Stadium
⏰ Saa 12:30 jioni
πŸ—“ 19/4/2026

//

Takwimu za Bernardo Silva ndani ya Manchester City:β–  Michezo      451β–  Magoli         76β–  Assist          77  //
16/04/2026

Takwimu za Bernardo Silva ndani ya Manchester City:

β–  Michezo 451
β–  Magoli 76
β–  Assist 77

//

πŸ“Έ Bernardo Silva   //
16/04/2026

πŸ“Έ Bernardo Silva

//

Rasmi:Bernardo Silva amedhibitisha na kuaga rasmi ataondoka Manchester City mwishoni mwa msimu huu wa 2025/26.
16/04/2026

Rasmi:

Bernardo Silva amedhibitisha na kuaga rasmi ataondoka Manchester City mwishoni mwa msimu huu wa 2025/26.

Takwimu za Manchester City katika kipindi cha miaka 132 ya kuanzishwa kwake;πŸ† Γ— 10 Ligi Kuu England πŸ† Γ— 9    Carabao Cup...
16/04/2026

Takwimu za Manchester City katika kipindi cha miaka 132 ya kuanzishwa kwake;

πŸ† Γ— 10 Ligi Kuu England
πŸ† Γ— 9 Carabao Cup
πŸ† Γ— 7 FA Cup
πŸ† Γ— 1 UEFA Champions league
πŸ† Γ— 1 UEFA Super Cup
πŸ† Γ— 1 FIFA Club World Cup

Shabiki maarufu wa Manchester City Tal Rehman baada ya kuwa gumzo mitandaoni anasema:"Sikutarajia kabisa kuwa viral. Nim...
16/04/2026

Shabiki maarufu wa Manchester City Tal Rehman baada ya kuwa gumzo mitandaoni anasema:

"Sikutarajia kabisa kuwa viral. Nimepokea zaidi ya jumbe 900! Nimekuwa mshabiki mweye tiketi ya msimu mzima kwa zaidi ya miaka 30 hadi nikamwita mwanangu Yaya.

"Nilipata ile chupa mwaka jana kutoka kwa wahudumu wa afya wa Arsenal. Tunakaa karibu na benchi la ufundi la timu pinzani pale uwanja wa Man City. Mwanangu alisema ana kiu, nikajaribu kuwauliza wahudumu wa Arsenal k**a tunaweza kupata maji, wakatupa chupa ya maji nasi tukaamua kuihifadhi".

Leo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa/kuanzishwa kwa klabu yetu pendwa ya Manchester City.City ilianzishwa mwaka 1894 na...
16/04/2026

Leo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa/kuanzishwa kwa klabu yetu pendwa ya Manchester City.

City ilianzishwa mwaka 1894 na mpaka sasa kufikisha miaka 132 toka kuanzishwa kwake.

Happy Birthday Manchester City

Address

0000
Dar Es Salaam
255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tanzania citizens - "man city" posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category