World football sports

World football sports Kuhusu habari za michezo na burudani ndani ya world football sports kila siku habari za uhakika na z

Hii nchi Ina vijana wa hovyo Sana asee 😅😄
23/06/2023

Hii nchi Ina vijana wa hovyo Sana asee 😅😄

12/06/2023

TETESI

Azam wapo tayar kukamilisha usajili wa winga wa zamani wa Simba Luis miqusone
Uongozi wa klabu hyo ya matajiri wa mikate Azam wanahaha kuimarisha kikosi chao msimu ujao ili kutwaa ubingwa wa ligi kuu bara

Kaa mkao wa kula tembelea ukurasa wetu wa World football sports kuanzia Leo tunataja majina ya wachezaji wanaotajwa kusa...
12/06/2023

Kaa mkao wa kula tembelea ukurasa wetu wa World football sports kuanzia Leo tunataja majina ya wachezaji wanaotajwa kusajiliwa Simba yanga na Azam like share

Victorian Adebayour kutua yanga Uongozi wa Young Africa umafanikiwa kuinasa saini ya mshambuliaji wa US gendmarie baada ...
19/04/2022

Victorian Adebayour kutua yanga

Uongozi wa Young Africa umafanikiwa kuinasa saini ya mshambuliaji wa US gendmarie baada ya kumalizna na uongozi wa timu ya Christi's fc ya Denmark
Senzo mbatha mazingisa ndo alimaliza dili Hilo

Yanga wanaupiga mwing Sana
31/10/2021

Yanga wanaupiga mwing Sana

Kuelekea deby ya kariakoo Simba na yanga nitatoa zawadi ya mshindi atakaye tabiri mfungaji wa goli sh 10000Ili kupata ha...
25/09/2021

Kuelekea deby ya kariakoo Simba na yanga nitatoa zawadi ya mshindi atakaye tabiri mfungaji wa goli sh 10000

Ili kupata habari za michezo na burdani fuata ukurasa wetu mechi hii tutatitangaza moja kwa moja katika ukurasa wetu na taratibu zote endapo zitakamilia Basi utaushuhudia kupitia simu yako ya mkononi katika ukurasa wetu ni World football sports

21/09/2021

Mambo ni mazito
Kionjo kidogo

Karibu katika page yetu upate habari zote za michezo na burdani

Daima Young Africans Sports Club tupo pamoja leo na tunawaunga mkono muweze kushinda Leo ili msogee mbele SIMBA  SC 1936...
19/09/2021

Daima Young Africans Sports Club tupo pamoja leo na tunawaunga mkono muweze kushinda Leo ili msogee mbele

SIMBA SC 1936 tupo pamoja leo kuwatakia Simba day

Ili kupata habari za michezo na burdani like na sheare

Kiungo wa Timu ya Young Africans Sports Club Feisal salum - FEI Feisal salum - FEI TOTO.Feisal salum - FEI TOTO. Amewaha...
19/09/2021

Kiungo wa Timu ya Young Africans Sports Club Feisal salum - FEI Feisal salum - FEI TOTO.Feisal salum - FEI TOTO. Amewahakikishia mashabiki wa Timu hiyo ya yanga kwamba wamejiandaa vya kutosha kuhakikisha wanaibuka na ushindi mnono hapo kesho nchini Nigeria dhidi ya River United ya nchini humo
Hata hivo young Africans wanakumbukumbu ya kupoteza mchezo wa awali uliopigwa katika dimba la mkapa na kukubali kichapo Cha goli moja kwa sifuri lililokwamishwa wavuni na mshambuliaji hatari Moses omudumuke

Karibu kutangaza biashara yako kupitia ukurasa huu namba ya simu 0714651329 malipo ni Bei rshisi tu

Semaji la dunia limesema yanga tutashinda Sasa Mimi Nan nibishe??? Tuiombee timu yetu kutoka Tanzania yanga Africans ish...
18/09/2021

Semaji la dunia limesema yanga tutashinda Sasa Mimi Nan nibishe??? Tuiombee timu yetu kutoka Tanzania yanga Africans ishinde huko Nigeria kwa kishindo ili iliwakilishe taifa vyema

Bwalya kuwa UTI wa mgongo Simba Unaambiwa uongozi wa Simba umempa majukum mazito kiungo hatari kutoka Zambia Rally Bwaly...
18/09/2021

Bwalya kuwa UTI wa mgongo Simba
Unaambiwa uongozi wa Simba umempa majukum mazito kiungo hatari kutoka Zambia Rally Bwalya ya kuhakikisha yeye ndo anajua hakimu wa timu inapokua uwanjani
Rally Bwalya amepewa majukumu hayo kufuatia kuondoka kwa kiungo hatari kutoka Zambia Clatous Chama Rally bwalya Ana sifa ya kucheza juu lakin pia kuichezesha timu

Address

Abidinirhasani@gmail. Com
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when World football sports posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share