11/06/2026
Mwakinyo 🗣️ "Napenda ni nitoe pole za maumivu kwa wote mulio umizwa au kuto elewa kilicho tokea jana siyatetei matokeo ya kupoteza kwangu na siumii sababu ndio game kinacho niumiza zaidi ni mimi kua week kiasi cha kushindwa kujitetea hata namna ya upiganaji wangu haukua ule mlio uzoea ilikua ni game tough ambayo niliweka bidii zangu kwenye mazoezi ya nguvu sana na ndio game ambayo nilicheza nikiwa niko week na mwepesi sana yote kwa yote ni matokeo tu na hakuna budi kupokea.