18/06/2025
Pacome bado hajasaini mkataba na Yangq Sc licha ya Yanga Sc kumuita mezani lakini ameuambia uongozi usubiri mpaka msimu utakapo tamatika
Lakini pia kambi ya Pacome imepokea ofa kubwa kutoka kwa Simba Sc ili kuweza kupata huduma ya mchezaji huyo raia wa Ivory Coast