Yanga champions

Yanga champions Young sports club

djigui Diarrรก ndiye kinara wa hati safi (Cleansheet) kwenye NBC Premier League ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ya National Bank of Commerce msimu wa ...
04/07/2026

djigui Diarrรก ndiye kinara wa hati safi (Cleansheet) kwenye NBC Premier League ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ya National Bank of Commerce msimu wa 2025/26.

Tanzania Football Federation NBC Premier League ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ National Bank of Commerce Azam Sports TBC DIGITAL JUST FIT SPORTS

๐Ÿšจ ๐Ÿ™ Get Well Soon  Pacome Zouazoui.๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ’”
30/06/2026

๐Ÿšจ ๐Ÿ™ Get Well Soon Pacome Zouazoui.๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ’”

๐…๐“โ€™|   Young Africans SC 3๐Ÿ†š0 TRA United
27/06/2026

๐…๐“โ€™|

Young Africans SC 3๐Ÿ†š0 TRA United


๐…๐“โ€™|   Young Africans SC 3๐Ÿ†š0 Azam FC
24/06/2026

๐…๐“โ€™|

Young Africans SC 3๐Ÿ†š0 Azam FC


20/02/2026

kijana mtanzania kutimkia italy under 17

Rasmi Yanga Sc imemtambulisha Buba Jammeh k**a mchezaji wao mpya akitokea katika klabu ya Interclube ya nchini Angola. โœ...
31/01/2026

Rasmi Yanga Sc imemtambulisha Buba Jammeh k**a mchezaji wao mpya akitokea katika klabu ya Interclube ya nchini Angola. โœ๏ธ

15/01/2026

Wananchi๐Ÿ”ฐ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†


DEPรš ni Mwananchi๐Ÿ”ฐ
15/01/2026

DEPรš ni Mwananchi๐Ÿ”ฐ


Mwamuzi Boubou Traore kutoka Mali ameikosesha Taifa Stars fursa ya kupata bao la kusawazisha kupitia mkwaju wa penalti b...
04/01/2026

Mwamuzi Boubou Traore kutoka Mali ameikosesha Taifa Stars fursa ya kupata bao la kusawazisha kupitia mkwaju wa penalti baada ya 'kumeza filimbi' pale ilipobidi kutoa adhabu baada ya mshambuliaji wa Stars, Iddi Nado kusukumwa ndani ya 'box' la Morocco dakika za jioni kabisa wakati wenyeji hao wakiwa mbele 1-0.

Licha ya shinikizo kutoka kwa wachezaji na benchi la ufundi la Taifa Stars wakimtaka REFA huyo akaangalie tukio hilo kwenye VAR, lakini Mwamuzi 'Bubu' aliendelea kuwa bubu na kuendeleza mchezo huo uliomalizika kwa Stars kutolewa isivyo haki.

Tukio lile Duniani kote ni 'tuta' la wazi kabisa lakini Boubou Traore aliamua kulifumbia macho tena mbele ya Rais wa CAF, Patrice Motsepe na Rais wa FIFA, Gianni Infantino waliokuwepo katika dimba la Prince Moulay Abdellah mjini Rabat kushuhudia mtanange huo.

21/01/2025

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Telephone

+255612740911

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Yanga champions posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Yanga champions:

Shortcuts

Share

Category