07/06/2026
Yanga SC bado wanahitaji huduma ya Prince Dube kwenye kikosi chao kuelekea msimu ujao...
Tayari wameandaa OFA ya mkataba wa miaka miwili kwa mshambuliaji huyo ambaye pia anatolewa macho na Kaizer Chiefs...
Uamuzi umebaki kwa mchezaji mwenyewe, aongeze au akatafute changamoto mpya...
So far kwa upande wa klabu, Dube is here to stay ✅