Tengo online tz

Tengo online tz °KWA HABARI ZA MICHEZO °TETESI ZA MICHEZO °NA MIJADALA KUHUSU MICHEZO ° NDANI NA NJE YA TANZANIA °FOLLOW, LIKE, COMMENT, SHARE,

WE ARE THE BEST IN TOWN

Yanga SC bado wanahitaji huduma ya Prince Dube kwenye kikosi chao kuelekea msimu ujao...Tayari wameandaa OFA ya mkataba ...
07/06/2026

Yanga SC bado wanahitaji huduma ya Prince Dube kwenye kikosi chao kuelekea msimu ujao...

Tayari wameandaa OFA ya mkataba wa miaka miwili kwa mshambuliaji huyo ambaye pia anatolewa macho na Kaizer Chiefs...

Uamuzi umebaki kwa mchezaji mwenyewe, aongeze au akatafute changamoto mpya...

So far kwa upande wa klabu, Dube is here to stay ✅

🗣️ "Kujiunga na Yanga haikuwa safari rahisi kwangu. Nilifanya mazungumzo na Hersi Said pamoja na Aucho Khalid kabla ya k...
07/06/2026

🗣️ "Kujiunga na Yanga haikuwa safari rahisi kwangu. Nilifanya mazungumzo na Hersi Said pamoja na Aucho Khalid kabla ya kufikia makubaliano. Menejimenti yangu pia ilihusika kikamilifu katika mchakato huo. Rais wa klabu yangu ya zamani hakutaka kuniachia dirisha la Januari. Ilinibidi kutumia juhudi kubwa kumshawishi akubali. Hatimaye aliridhia na safari yangu ya kujiunga na Yanga ikatimia."-Allan Okello Yanga SC

✅: Simba imerudi tena kwa  'Fei Toto'Wakala wa Feisal Salum 'Fei Toto' amekutana na Uongozi wa Simba mezani mada ikiwa n...
07/06/2026

✅: Simba imerudi tena kwa 'Fei Toto'

Wakala wa Feisal Salum 'Fei Toto' amekutana na Uongozi wa Simba
mezani mada ikiwa ni kuhusu maestro kupata saini yake kutoka Azam FC kwenda Simba SC.

Umeangaliwa mkataba wake na Azam, anacholipwa, ofa mpya Azam kumbakiza.Tajiri kapanda dau maradufu.Mazunguzo ndio kwanza yameanza.

🚨Klabu ya Pyramids FC 🇪🇬 imeanza mazungumzo na Al Hilal Omdurman 🇸🇩 ili kupata saini ya Winga Jean Girumugisha (21) 🇧🇮 n...
07/06/2026

🚨Klabu ya Pyramids FC 🇪🇬 imeanza mazungumzo na Al Hilal Omdurman 🇸🇩 ili kupata saini ya Winga Jean Girumugisha (21) 🇧🇮 na wapo tayari kutoa zaidi ya USD 3M (Tshs 7.8B) ili kuununua mkataba wa mchezaji huyo

Al Ittihad SC 🇱🇾 na Al Ahly Tripoli zimeweka ofa ya USD 3M mezani ili kupata huduma ya Winga Jean Claude Girumugisha ambaye amekuwa na msimu bora sana, na inatajwa kuwa Al Hilal Omdurman wanahitaji USD 5M (Tshs 13.3B) ili kumuachia Winga wao ambaye wana mkataba nae hadi 2029. 🔵🔐

Azam FC wakitaka kucheza soka la pasi na kumiliki mchezo James Akaminko ndio anakuwa ufunguo. Uwezo wake wa kugeuka na m...
07/06/2026

Azam FC wakitaka kucheza soka la pasi na kumiliki mchezo James Akaminko ndio anakuwa ufunguo.

Uwezo wake wa kugeuka na mpira akiwa amebanwa na maadui ni mkubwa sana. Ni mchezaji ambaye hapendi sifa za vyombo vya habari lakini makocha wanajua thumni yake.

James Akaminko ni kiungo haswa akiamua kumiliki dimba kwa ubora wake 🔥

AZAM HII NI MALI HASWAAA ✅😁Kanoute kazingua, Mao ni 35 yrs, Akaminko soon 32, Zayd ni injury prone, Mtasingwa hatabiriki...
07/06/2026

AZAM HII NI MALI HASWAAA ✅😁

Kanoute kazingua, Mao ni 35 yrs, Akaminko soon 32, Zayd ni injury prone, Mtasingwa hatabiriki

Kuna huyu Alphonse mabula ni free agent kwa sasa na ana miaka 22 tuu lakini shughuli yake nzito mno

🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 : Huku mashabiki wa klabu ya raja wakisubiri tangazo rasmi kuhusu kufutwa kazi kwa kocha mkuu na mkurugenzi wa ...
06/06/2026

🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 : Huku mashabiki wa klabu ya raja wakisubiri tangazo rasmi kuhusu kufutwa kazi kwa kocha mkuu na mkurugenzi wa klabu hiyo

Raja Wamefanya Mazungumzo pape oussmane sakho ili aongeze mkataba wa mwaka mmoja maamuzi yako mikononi wa sakho

❌Licha ya mvutano mkubwa kati ya pande mbili za uongozi ila wanataka mabadiliko Wana nguvu kuliko walio upande wa Fadlu Davids

🚨𝐓𝐑𝐀𝐍𝐒𝐅𝐄𝐑 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 : ALIOU DIENG 🔄 VALENCIA FCKiungo wa kimataifa wa Mali, Aliou Dieng, anatarajiwa kujiunga na kambi ya ...
06/06/2026

🚨𝐓𝐑𝐀𝐍𝐒𝐅𝐄𝐑 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 : ALIOU DIENG 🔄 VALENCIA FC

Kiungo wa kimataifa wa Mali, Aliou Dieng, anatarajiwa kujiunga na kambi ya maandalizi ya msimu mpya ya Valencia CF kuanzia Julai 6, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuelekea msimu wa 2026/27.

Dieng, ambaye ametokea Al Ahly SC, ataanza mazoezi na wachezaji wenzake wapya huku akijiandaa kwa changamoto mpya katika ligi ya Hispania.

Uhamisho wake unaonekana kuwa hatua muhimu katika maendeleo ya soka lake baada ya mafanikio aliyoyapata akiwa Al Ahly.

Mwana direct to Valencia spain🔥🔥🔥

🚨 Klabu ya Al Ahly 🇪🇬 inavutiwa na kiwango cha Winga Jean Claude Girumugisha (21) 🇧🇮 kutoka Al Hilal Omdurman 🇸🇩 na wame...
06/06/2026

🚨 Klabu ya Al Ahly 🇪🇬 inavutiwa na kiwango cha Winga Jean Claude Girumugisha (21) 🇧🇮 kutoka Al Hilal Omdurman 🇸🇩 na wameandaa ofa ya USD 3M (Tshs Bilioni 7.8) ili kupata saini yake kuelekea msimu ujao wa 2026-27! ❤️🤍

Mkataba wa Al Hilal Omdurman na Jean Girumugisha unamalizika 2029 na Al Ahly wanahitaji huduma yake na wameingia kwenye mbio za kupigania saini yake ili kuboresha kikosi chao baada ya kupata changamoto katika msimu uliomalizika. 🦅🔴

🚨🚨 MKAMALIA Sugu Kutoka Pande Za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo" ameweka dau la $1,000 kwa Kongo ili kushinda Kombe la...
06/06/2026

🚨🚨 MKAMALIA Sugu Kutoka Pande Za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo" ameweka dau la $1,000 kwa Kongo ili kushinda Kombe la Dunia... 🌍💸

Ikitokea kwa njia fulani, Mkamalia mwenzetu Atavuna dola 1,000,000 za kushangaza kwenye Polymarket. 😳🏆

Mwana Amejiamulia Mambo Mapema 🙌🏽

Address

Mbinga
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tengo online tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Tengo online tz:

Share