06/07/2024
Kiungo wa timu ya taifa ya Ujerumani Toni Kroos ametangaza kustaafu soka la ushindani baada ya timu ya taifa Ujerumani kutolewa katika kombe la Euro 2024 dhidi ya Hispania.
Kuna vitu tunavikosa miguuni mwake pasi za magoli, ubunifu, krosi, faili za hatari na kila kitu kilichopo miguuni mwake.
Kwaheri Legend.