Apotv_5

Apotv_5 SPORTS & ENTERTAINMENTS
NEWS DAILY | COMEDY | GOSSIPS
TECH NEWS | GRAPHIC DESIGN
�CONTENT CREAT

23/05/2023

HATUJAFANYA VIZURI MSIMU HUU TUNAJIAANDAA KWA MSIMU UJAO
KONGOLE KWA MTANI!

Shabiki wa aipa kongole kwa kufanya vizuri msimu huu, awataka viongozi wa Simba kujenga timu kwa ajili ya msimu ujao.

21/05/2023

🔴MWANASIMBA KINDAKINDAKI AIPONGEZA YANGA PIA AMWAGA USHAURI KWA VIONGOZI WA TIMU YAKE. Tazama hapa

WYDAD CASABLANCA  imetinga Hatua ya Fainali ya CAF Champions league kwa faida ya goli la ugenini zidi ya MAMELODI SUNDOW...
21/05/2023

WYDAD CASABLANCA imetinga Hatua ya Fainali ya CAF Champions league kwa faida ya goli la ugenini zidi ya MAMELODI SUNDOWNS baada ya sare ya magoli 2-2. Ikumbukwe mechi ya awali iliyopigwa Morroco mechi iliisha kwa sare ya 0-0 wydad wakiwa nyumbani. Matarajio ya wengi yamekatishwa pale SA.

Historia imeandikwa!  watinga Fainali ya kombe la shirikisho barani Afrika kwa Mara ya kwanza.
18/05/2023

Historia imeandikwa! watinga Fainali ya kombe la shirikisho barani Afrika kwa Mara ya kwanza.


Nani kwenda Fainali leo?? Ni nusu Fainali ya pili ya kombe la shirikisho barani Afrika Kati ya wenyeji  zidi ya wananchi...
17/05/2023

Nani kwenda Fainali leo?? Ni nusu Fainali ya pili ya kombe la shirikisho barani Afrika Kati ya wenyeji zidi ya wananchi
Baada ya yanga kushinda nyumbani kwa ushindi wa magoli 2-0, je leo wataweza kufuzu ugenini?

Nusu Fainali ya mkondo wa pili ya  Kati ya  na  inapigwa jumatano ya Leo katika Jiji la Manchester. Nani kumfuata  kweny...
17/05/2023

Nusu Fainali ya mkondo wa pili ya Kati ya na inapigwa jumatano ya Leo katika Jiji la Manchester. Nani kumfuata kwenye Fainali? Ikumbukwe mechi ya kwanza iliisha kwa sare ya 1-1 pale Santiago Bernabeu. Nani kutinga Hatua inayofuata??


Ushindi wa 1-0 umewapeleka  final ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE kwa ushindi wa jumla (Aggregate) 3-0 zidi ya Mahasimu wao  ka...
17/05/2023

Ushindi wa 1-0 umewapeleka final ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE kwa ushindi wa jumla (Aggregate) 3-0 zidi ya Mahasimu wao katika mechi ya mkondo wa pili.
Je watabeba ndoo??


  inarudi Tena leo usiku katika mechi ya mkondo wa pili wa nusu fainali Kati ya  wakiwakaribisha   katika dimba la   nch...
16/05/2023

inarudi Tena leo usiku katika mechi ya mkondo wa pili wa nusu fainali Kati ya wakiwakaribisha katika dimba la nchi Italy. Mechi ya kwanza ilitamatika kwa AC Milan kukubali kichapo Cha goli 2-0. Je watakubali au watapindua meza.



Karibu kwenye ukurasa wetu rasmi wa  maalumu kabisa kwa masuala au taarifa mbalimbali za kimichezo na Burudani. Hapa uta...
16/05/2023

Karibu kwenye ukurasa wetu rasmi wa maalumu kabisa kwa masuala au taarifa mbalimbali za kimichezo na Burudani. Hapa utapata kila kinachojili katika ulimwengu wa kimichezo ndani na nje ya nchi. Kaa karibu na page hii ujipatie kilicho Bora. Kazi Yako kubwa Leo Ni kutu-follow tu na utakuwa umetisha Sana!

Address

Chamazi MBAGALA HQ
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Apotv_5 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Apotv_5:

Share

Category