Tiba asili

Tiba asili Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tiba asili, Mlimani city, Dar es Salaam.

Hii ni page ya tiba asili za kimarekani, utajifunza magonjwa na mambo mengi kuhusu afya zetu pamoja na suluhisho la magonjwa mbalimbali, kama presha, kisukari, shida za mifupa na maungio, bawasili, vidonda vya tumbo, nguvu za kiume, tezi dume, pid,uzazi Bf Suma ni kampuni ya kimataifa iliyojikita katika tafiti na maendeleo ya kijamii, uzalishaji na usambazaji wa bidhaa lishe asilia zisizo na kem

ikalu zenye kukinga na kutibu magonjwa mbalimbali Kama shida zote za uzazi kwa wanaume na wanawake, vidonda vya tumbo, bawasili, gesi tumboni nk, shida za mgongo, maunhio na mifupa kwa ujumla, kisukari, presha , vimbe, Kansa,kupunguza uzito na manyama uzembe, kuondoa sumu na kuimarisha Kinga za mwili

14/09/2026

๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—จ๐—ฃ๐—จ๐—ก๐—š๐—จ๐—™๐—จ ๐—ช๐—” ๐—ก๐—š๐—จ๐—ฉ๐—จ ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—œ๐—จ๐— ๐—˜

โžก๏ธ Kukosa hamu ya Kufanya Tendo la Ndoa.
โžก๏ธ ๐—ž๐˜‚๐˜๐—ผ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—จ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฟ๐˜‚๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ง๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ผ ๐—น๐—ฎ ๐—ป๐—ฑ๐—ผ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐—ท๐—ฎ; Mwanaume mwenye changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume akishakamilisha mshindo mmoja wa tendo la ndoa basi anakua hana uwezo tena wa kurudia mshindo mwingine, hali hii husababishwa na kutokuwepo na msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya uume.
โžก๏ธ ๐—ž๐˜‚๐˜๐—ผ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—จ๐˜‚๐—บ๐—ฒ ๐—ธ๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐˜€๐—ฎ; kwa kawaida uume wa mwanaume aliyekamilika unaposimama, hutakiwa kuwa imara k**a msumari, lakini kwa mwanaume mwenye changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume, uume wake hata ukisimama hubakia kuwa lege lege na unaweza kusinyaa wakati wowote. Tatizo hili ni matokeo ya kulegea kwa mishipa ya uume ambayo ndio huufanya uume usimame barabara.
โžก๏ธ ๐—ž๐˜‚๐˜„๐—ฎ๐—ต๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ฑ๐—ผ; Kutoa mbegu kabla ya kuanza tendo la ndoa au muda mfupi tu baada ya kuanza tendo la ndoa, bila yeye mwenyewe kukusudia huashiria changamoto hii. Kwa kawaida mtu mwenye tatizo la kuwahi kufika kileleni hutoa mbegu zake za kiume hata baada ya maandalizi kidogo sana.
โžก๏ธ Kuchoka sana baada ya tendo la Ndoa; Na hata kukinai kabisa/hata kuhisi kichechefu, hali hii huwapata wanaume wenye changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume ambayo wakati mwingine huambatana na usingizi mzito (Kulala fofofo).
โžก๏ธ ๐—ž๐˜‚๐—ต๐—ถ๐˜€๐—ถ ๐— ๐—ฎ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐˜ƒ๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ง๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ผ ๐—น๐—ฎ ๐—ก๐—ฑ๐—ผ๐—ฎ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ง๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ผ ๐—ต๐—ถ๐—น๐—ผ; Hali hii huweza kuchangiwa na kauthirika kwa tishu za uume ambazo hutokana na upigaji wa punyeto kupita kiasi.
โžก๏ธ ๐—ž๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ฑ๐—ผ ๐˜€๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ฑ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐˜€๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ฑ๐—ผ; Ni hali ya mwanaume kuchukua muda mrefu kutoa manii wakati wa kushiriki tendo la ndoa. Kwa kawaida mwanaume anatakiwa atoe manii kwa muda usiozidi dakika 30 wakati wa kushiriki tendo la ndoa. Kwahiyo mwanaume anaposhiriki tendo la ndoa na kuchukua muda mrefu bila kufika mshindo anahitaji uchunguzi ili kubaini chanzo cha tatizo.

Dalili za kuvimba kwa tezi dume (prostatitis)/(Bph) 1 Kukojoa mara kwa mara, hasa usiku.2 Maumivu au kuwaka wakati wa ku...
14/09/2026

Dalili za kuvimba kwa tezi dume (prostatitis)/(Bph)

1 Kukojoa mara kwa mara, hasa usiku.
2 Maumivu au kuwaka wakati wa kukojoa.
3 Ugumu wa kuanza kukojoa au mkojo kutoka kwa mtiririko mdogo.
4 Kuhisi kibofu hakijaisha mkojo baada ya kukojoa.
5 Maumivu sehemu ya chini ya tumbo, kinena, au mgongoni.
6 Maumivu kwenye korodani au eneo kati ya korodani na njia ya haja kubwa.
7 Maumivu wakati wa kumwaga mbegu za kiume (ej*******on).
8 Homa, baridi, na uchovu (hasa ikiwa kuna maambukizi ya bakteria).
9 Mkojo wenye damu au mbegu za kiume zenye damu (kwa baadhi ya wagonjwa).

Dalili hizi zinaweza kufanana na matatizo mengine ya tezi dume, hivyo ni muhimu kufanya vipimo hospitalini k**a vile uchunguzi wa daktari, kipimo cha mkojo, na wakati mwingine kipimo cha PSA ili kubaini chanzo halisi cha tatizo.

Asali mbichiMchai chaiNdo suluhisho la ngozi yako
14/09/2026

Asali mbichi
Mchai chai

Ndo suluhisho la ngozi yako

sababu za ugumba1 hormone imbalance2 Pid sugu3 ovarian cyst 4 fibroids5 mirija kuziba
13/09/2026

sababu za ugumba

1 hormone imbalance
2 Pid sugu
3 ovarian cyst
4 fibroids
5 mirija kuziba

10/09/2026
10/09/2026

*๐ŸŒŸ Faida za Xpower Coffee:*

1. Huongeza nguvu za kiume โ€“ Husaidia kuongeza stamina, hamu ya tendo la ndoa, na kuimarisha nguvu za kiume kwa wale wenye udhaifu wa kingono.

2. Huondoa uchovu na kuongeza nguvu mwilini โ€“ Ni nzuri kwa mtu anayechoka sana au anayeamka asubuhi hana nguvu; huamsha mwili na kuongeza ufanisi kazini.

3. Huboresha mzunguko wa damu โ€“ Husaidia damu kusambaa vizuri, hasa sehemu za siri, hivyo kusaidia nguvu za kiume na afya kwa ujumla.

4. Ina virutubisho vya asili โ€“ Xpower Coffee imetengenezwa kutokana na mimea tiba k**a Tongkat Ali na Maca, ambayo husaidia mwili bila madhara ya dawa kali.

5. Huongeza ujasiri na kuondoa msongo wa mawazo โ€“ Inatoa utulivu wa akili, huondoa stress na huongeza furaha wakati wa tendo la ndoa.

Popote ulipo k**a unajua umeathirikia na punyeto  , KUJICHUA Ovyo,  pamj na tendo landoa kwako kuwa changamoto hata k**a...
07/09/2026

Popote ulipo k**a unajua umeathirikia na punyeto , KUJICHUA Ovyo, pamj na tendo landoa kwako kuwa changamoto hata k**a hujawahi KUJICHUA lakin katika mfumo mzima wa uzazi kwa tendo landoa kwako ni changamoto basi naomb tuonane upate complete package ako mapema kuiwahi hali hio mapema

Ukicherewa KUTIBU madhara ake
1..husababisha tezi dume
2..husababisha ugumba
3..husababisha kushindwa kurudia tendo landoa kwa MWANAUME
4..husababisha Maumivu makali ya kiuno
5..husababisha choo cha shida sana
6..husababisha mzunguko wa damu kuwa hafifuu kwa % kubwa
7..husababisha kuzalisha mbegu changa
8..husababisha kushindwa kubebesha ujauzito kwa mwenza wako
9..husababisha msongo wa mawazo
10..husababisha Uume kudumaa nakuhisi Kua na ganzi kaliii
11..husababisha Uume kuwa k**a unaludi ndani kwako MWANAUME
12..husababisha kushindwa kufanya raundi za uhakika kwa wepesi kwny tendo landoa
13..husababisha uume kuwa mdgo..

Usiruhusu  uendelee kuteseka
07/09/2026

Usiruhusu uendelee kuteseka

Address

Mlimani City
Dar Es Salaam
234

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tiba asili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share