Mndiga sports

Mndiga sports Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mndiga sports, Sport & recreation, mndigawaziri5@gmail. com, Dar es Salaam.

Mwanaume pambana na maisha yako usikae kusimanga wenzako
25/01/2023

Mwanaume pambana na maisha yako usikae kusimanga wenzako

𝗠𝗔𝗧𝗖𝗛 π——π—”π—¬πŸ”°βš½οΈ Young Africans SCπŸ†šRuvu Shooting πŸ—“ 23 January 2023⏱ 01:00 Usiku🏟 Uwanja wa Benjamin MkapaπŸ†
23/01/2023

𝗠𝗔𝗧𝗖𝗛 π——π—”π—¬πŸ”°

⚽️ Young Africans SCπŸ†šRuvu Shooting
πŸ—“ 23 January 2023
⏱ 01:00 Usiku
🏟 Uwanja wa Benjamin Mkapa
πŸ†


Mshambuliaji mpya wa club ya simba jean baleke jana amefanikiwa kuanza vyema safari yake ya kisoka katika ligi kuu ya NB...
23/01/2023

Mshambuliaji mpya wa club ya simba jean baleke jana amefanikiwa kuanza vyema safari yake ya kisoka katika ligi kuu ya NBC premier league kwa kuifungia goli club yake ya simba na kupata ushindi wa gori moja dhidi ya Dodoma jiji

πŸ‡²πŸ‡¦ Achraf Hakimi ametangazwa Mchezaji Bora wa Kiarabu katika Tuzo za Joy 2022 huko Riyadh πŸ‡ΈπŸ‡¦Alipanda jukwaani na mama ya...
22/01/2023

πŸ‡²πŸ‡¦ Achraf Hakimi ametangazwa Mchezaji Bora wa Kiarabu katika Tuzo za Joy 2022 huko Riyadh πŸ‡ΈπŸ‡¦

Alipanda jukwaani na mama yake kwa ajili ya tuzo.

Sote tuwafanyie fahari mama zetu siku moja. Amina! πŸ™??❀️✨

# mndiga Sports

Licha ya kuandikiwa barua ya kutakiwa kurejea kikosini baada ya kesi yake kumalizika, Kiungo Feisal Salum Fei Toto yuko ...
22/01/2023

Licha ya kuandikiwa barua ya kutakiwa kurejea kikosini baada ya kesi yake kumalizika, Kiungo Feisal Salum Fei Toto yuko zake Zanzibar.

Mtendaji Mkuu wa Yanga Andre Mtine, alimuandikia barua Fei ya kumtaka kurejea kikosini baada ya Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji ya TFF kutamka kuwa mchezaji huyo ni halali wa Yanga kwani bado ana mkataba mpaka mwaka 2024.

Lakini Feisal ameonekana akiendelea na mambo mengine huko Zanzibar bila kuripoti kambini Yanga k**a alivyotakiwa.

Sports

Manchester City wamekamilisha usajili wa kipa wa Argentina MΓ‘ximo Perrone - hati zimesainiwa kwenye klabu/upande wa wach...
22/01/2023

Manchester City wamekamilisha usajili wa kipa wa Argentina MΓ‘ximo Perrone - hati zimesainiwa kwenye klabu/upande wa wachezaji, hapa tunaenda kuthibitishwa πŸš¨πŸ”΅πŸ‡¦πŸ‡·

Perrone anajiunga na Man City hadi Juni 2028 kutoka VΓ©lez - mkataba uliokamilika k**a ulivyofunuliwa Desemba, ambao umekamilika na rasmi hivi karibuni

Source: Fabrizio Romano

¢ *By mndiga Sports Sports ⚽*

Rio Ferdinand kuhusu Mykhailo Mudryk: β€œNi usajili ambao utawavutia  sana kwa mashabiki wa Chelsea na nina uhakika kutaku...
22/01/2023

Rio Ferdinand kuhusu Mykhailo Mudryk:


β€œNi usajili ambao utawavutia sana kwa mashabiki wa Chelsea na nina uhakika kutakuwa na mashabiki wa Arsenal ambao watasema 'Oh Mungu wangu, tulimuachaje huyu mchezaji aende timu nyingine badala yetu?'”

¢ *By mndiga Sports ⚽*

Address

Mndigawaziri5@gmail. Com
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mndiga sports posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share