Mwananchi News

Mwananchi News Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mwananchi News, Sport & recreation, P. o. box 1456, Dar es Salaam.

27/05/2023

Viwango vya vilabu kumi Afrika baada ya miaka 5 iliyopita mpaka 2022-23 mpaka kumalizika kwa nusu fainali ya ligi ya Mabingwa Afrika na kombe la Shirikisho

1. Al Ahly — 78 points
2. Wydad — 74 points
3. ES Tunis — 56 points
4. Sundowns — 51 points
5. Raja — 51 points
6. Zamalek — 39 points
7. RS Berkane — 37 points
8. CR Belouizdad — 36 points
9. Simba — 35 points
10. Pyramids — 35 points




Source Mickyjunior

27/05/2023

KISA VITA MASTAA AL HILAL KUSEPA
Miamba ya soka nchini Sudan, klabu ya Al Hilal 🇸🇩 inatarajia kupoteza baadhi ya nyota wake kutokana na vita inayoendelea katika nchi hiyo huku ikiwa haijulikani ni lini hali ya amani itarejea.
Baadhi ya klabu zimeanza mazungumzo ya moja kwa moja na viongozi wa Al Hilal ili kupata huduma ya mastaa k**a 🇨🇩 Makabi Lilepo, 🇬🇲 Lamine Jarjou, 🇬🇭 Imoro Ibrahim, 🇨🇮 Issa Fofana, 🇨🇩 Fabrice Ngoma na 🇸🇩 Mohamed AbdelRahman.

15/05/2023

Follow ukurasa wangu mwananchi mwenzangu 🙏🙏🙏

23/01/2023

Simba Jana walibebwa dhahiri na refaree kipa alivamiwa na kuchezewa rafu lakini Tatu malogo akapeta

Address

P. O. Box 1456
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mwananchi News posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share