09/03/2026
Ofisi ya FKF Tawi la Kwale inapenda kutoa shukrani za dhati kwa Waziri wa Madini, Mheshimiwa Hassan Ali Joho, pamoja na viongozi wengine wote waliojitokeza na kuchangia katika harambee ya kuisaidia klabu sita za Kaunti ya Kwale.
Kupitia juhudi zenu, jumla ya Shilingi Milioni 5.8 zilifanikiwa kukusanywa kwa ajili ya kuziunga mkono timu hizo katika maendeleo ya soka la eneo hili.
βShukrani za pekee kwa Mheshimiwa Hassan Ali Joho kwa kuongoza harambee ya kusaidia timu 6 na kufanikisha kukusanywa kwa KSh 5.8 Milioni. Mchango wako katika maendeleo ya michezo unathaminiwa sana.β
Asanteni sana kwa kuendelea kuunga mkono maendeleo ya soka la Kwale. β½π