Jaa Sánchez oooh black Team 257

Jaa Sánchez oooh black Team 257 Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Jaa Sánchez oooh black Team 257, Sports, Bujumbura.

ek
21/08/2023

ek

Msanii wa zamani wa Konde Music Worldwide, Killy amemlipua Harmonize.

"Kwanza kabisa usingeweza kutulipisha hata sumni kwasababu wewe ndiye uliyevunja mkataba hiyo ingekuwa vichekesho na kali ya mwaka zaidi na zaidi wewe ndio tulitakiwa tukulipishe yani utulipe, mfano tungesema twende Mahakamani alafu sheria ifatwe, bro ivi unafikiri ungechomoka, ila sisi watoto wa mjini tukasema tufunike kombe mwanaharamu apite kila mtu aendelee kufanya michongo yake"

"Alafu pia siyo Killy na Cheed tu, hakuna msanii aliyewahi kuwa hapo akarudisha pesa kwasababu hapo hakujawahi kuwa na mifumo wala misingi ya urudishwaji pesa zaidi ya wewe mwenyewe tu ndio uliyekuwa ukiingiza pesa, mlishawahi kunikatalia kufanya show ya milioni 10 na mpaka advansi milioni 5 ilishaingizwa kwenye account ya ofisi na huyo mtu nilimleta mpaka kwako masikini ya Mungu sikuwa hata na mia, mama yangu mzazi anaumwa nyumbani"

"Wadogo zangu wamerudishwa nyumbani ada hakuna nikasema na mimi nipate Rizki ila show mliikataa nakumbuka hiyo siku nilivyorudi nyumbani nililia sana sababu mpaka leo sijawahi kujiua Mungu alivyokuwa fundi sasa toka nimeanza kujitegemea mwenyewe nimeshaingiza zaidi ya milioni 40 na imetokana na muziki wangu huu huu, nimenunua gari yangu kwa pesa yangu mwenyewe mpaka nimeanza na ujenzi wa nyumba kitu ambacho sikuwahi kukitegemea kabisa kulingana na hali ilivyokuwa huko"- Killy, Msanii wa muziki Tanzania.

Ukihitaji matangazo ya biashara yako au Promotion ya nyimbo zako, filamu, mitandao yako ya kijamii (facebook na YouTube), njoo inbox 📥

Toa maoni yako


JaaSanchez
28/01/2023

JaaSanchez

23/09/2022
❤️❤️❤️
11/07/2022

❤️❤️❤️

14/04/2018
28/02/2018

Only one

Address

Bujumbura

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jaa Sánchez oooh black Team 257 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category