McGarćia

McGarćia ▪︎ Tanzanian Lorenz Köhler. A South African oriented page
(5)

😢
17/06/2026

😢

Ijumaa ya tarehe 19 (June); Kaizer Chiefs wataanza kurejea kambini ikiwa ni maandalizi kuelekea msimu mpya wa mashindano...
15/06/2026

Ijumaa ya tarehe 19 (June); Kaizer Chiefs wataanza kurejea kambini ikiwa ni maandalizi kuelekea msimu mpya wa mashindano (2026/2027)

🟡⚫️Vozinha take off that mask we know you are Brandon Petersen.🧤🔥    Kaizer Chiefs
15/06/2026

🟡⚫️Vozinha take off that mask we know you are Brandon Petersen.🧤🔥

Kaizer Chiefs

Kwa kipindi ulichofanikiwa kuwatazama nyota hawa wawili; unaenda na nani.?A)Brayan León Muñiz 🇨🇴 B)Lucas Ribeiro costa 🇧...
15/06/2026

Kwa kipindi ulichofanikiwa kuwatazama nyota hawa wawili; unaenda na nani.?

A)Brayan León Muñiz 🇨🇴
B)Lucas Ribeiro costa 🇧🇷

Ni kweli  safari ya Bafana Bafana kwenye FIFA World Cup mwaka huu ni nzito. Lakini ningetamani Hugo Henri Broos 🇧🇪 amuan...
15/06/2026

Ni kweli safari ya Bafana Bafana kwenye FIFA World Cup mwaka huu ni nzito. Lakini ningetamani Hugo Henri Broos 🇧🇪 amuanzishe Relebohile Mofokeng kwenye mchezo ujao. Kuna kitu nahisi ataongeza kwenye safu ya ushambuliaji 🥲

Tarehe 18 Julai, klabu ya Mamelodi Sundowns itacheza mechi ya kirafiki dhidi ya timu ya Austria, RB Salzburg. Klabu ya R...
15/06/2026

Tarehe 18 Julai, klabu ya Mamelodi Sundowns itacheza mechi ya kirafiki dhidi ya timu ya Austria, RB Salzburg. Klabu ya RB Salzburg tayari imethibitisha rasmi mchezo huo, ambao utakuwa sehemu ya maandalizi ya msimu mpya kwa timu zote mbili. 🇦🇹 ⚽

😂Aliyepo kwenye picha hapo chini ni Dr.Xanti Pupuma 🇿🇦.  Jamaa ni mwenyekiti wa Milford Fc ya Afrika kusini 🇿🇦. February...
15/06/2026

😂Aliyepo kwenye picha hapo chini ni Dr.Xanti Pupuma 🇿🇦. Jamaa ni mwenyekiti wa Milford Fc ya Afrika kusini 🇿🇦.

February 2025 Jamaa aliamua kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo mara baada ya Mandla Qhogi na benchi zima la ufundi kutofautiana na matakwa yake 😂

😂
15/06/2026

😂

Kuna baadhi ya mashabiki wa Young Africans Sports Club wanasema kuwa; wanatamani klabu yao ipate ubingwa angalau kwa goa...
15/06/2026

Kuna baadhi ya mashabiki wa Young Africans Sports Club wanasema kuwa; wanatamani klabu yao ipate ubingwa angalau kwa goal deference ili viongozi wa timu akili iwakae sawa.

Wanaamini kuwa; k**a Yanga SC atapata ubingwa kirahisi msimu huu basi msimu ujao hakutakuwa na u-serious kwenye maboresho ya timu.!

Unadhani mashabiki hao wapo sahihi.?

𝗠𝘀𝗵𝗮𝗵𝗮𝗿𝗮 𝘄𝗮 𝗧𝗲𝗯𝗼𝗴𝗼 𝗠𝗼𝗸𝗼𝗲𝗻𝗮..Kiungo wa Mamelodi Sundowns FC Tebogo Mokoena anapokea Million 114 kwa mwezi k**a mshahara. ...
15/06/2026

𝗠𝘀𝗵𝗮𝗵𝗮𝗿𝗮 𝘄𝗮 𝗧𝗲𝗯𝗼𝗴𝗼 𝗠𝗼𝗸𝗼𝗲𝗻𝗮..

Kiungo wa Mamelodi Sundowns FC Tebogo Mokoena anapokea Million 114 kwa mwezi k**a mshahara. Hiyo ni nje ya bonus za ushindi na tuzo za Man of the Match.

Lakini ana ndorsement kutoka PUMA; ambayo kwa mwaka haiwezi kupungua Million 200 kwa mwaka 😳.

Address

Bloemfontein

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when McGarćia posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share