Zanzibar Heroes

  • Home
  • Zanzibar Heroes

Zanzibar Heroes Ukurasa Rasmi wa Timu ya Taifa ya Zanzibar - “Zanzibar Heroes" -

02/02/2024

Ijumaa k**a hii wiki iliyopita lilifanyika tukio la kihistoria kwenye Soka la Zanzibar - Uzinduzi wa Jezi za Timu ya Taifa Zanzibar Heroes ukiongonzwa Dr. Hussein Ali Mwinyi

Kiu ya Wazanzibar kuzisubiri jezi hizo sasa imepata majibu, Jezi zinapatikana GG Classic wear, Mombasa S.O.S, GG classic Magomeni na Duka la Hussen Ahmada Jang’ombe Mzizima kwa Tsh 45,000/= tu.

Usikose vazi rasmi la Wanzibari wanaojivunia Zanzibar na maendeleo inayoyafanya.


29/01/2024

TAFSIRI RASMI YA UBUNIFU ULIOKO NDANI YA JEZI ZETU MPYA ZA ZANZIBAR HEROES!

ZANZIBAR HEROES OFFICIAL KITS & MERCHANDISES

Designed by Sheria Ngowi Brand for

Tunawashukuru CRDB Bank Plc kuwa mdhamini mkuu wa Jezi hizi za timu ya Taifa ya Zanzibar Heroes



28/01/2024

Ni RASMI 🎊🎉

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dr. Hussein Ali Mwinyi
amezindua rasmi Jezi ya Timu ya Taifa ya Zanzibar Zanzibar Heroes

Umeona kiwango cha Nahodha wetu Mh Dr. Hussein Ali Mwinyi? Makubwa yanakuja kwenye timu ya Taifa na soka la Zanzibar


Sheria Ngowi Brand Mbunifu wa Jezi Mpya za Zanzibar Heroes akielezea maana na ubunifu uliopo nyuma ya kila jezi.Baki nas...
28/01/2024

Sheria Ngowi Brand Mbunifu wa Jezi Mpya za Zanzibar Heroes akielezea maana na ubunifu uliopo nyuma ya kila jezi.

Baki nasi kwenye ukurasa huu kujua zaidi kuhusu ubunifu wa jezi hizi.


Kwa mara ya kwanza, ni heshima kubwa na taadhima kuiona jezi ya kwanza mpya kati ya kit 4 za Zanzibar Heroes ikiwa imeva...
28/01/2024

Kwa mara ya kwanza, ni heshima kubwa na taadhima kuiona jezi ya kwanza mpya kati ya kit 4 za Zanzibar Heroes ikiwa imevaliwa na Mheshimiwa Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Hussein Ali Mwinyi

Mheshimiwa Dr. Hussein Ali Mwinyi analijua soka, hii ni ‘trela’ tu, picha linakuja 😀


Hapa ndipo tukio la kihistoria lilipotokea; uzinduzi wa jezi mpya za Timu ya Taifa ya  Zanzibar HeroesMgeni rasmi niRais...
28/01/2024

Hapa ndipo tukio la kihistoria lilipotokea; uzinduzi wa jezi mpya za Timu ya Taifa ya Zanzibar Heroes

Mgeni rasmi niRaisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Hussein Ali Mwinyi

Fuatilia taarifa zaidi kupitia ukurasa huu


Address

Zanzibar , Tanzania

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Zanzibar Heroes posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility?

Share