Hafidh Mussa

Hafidh Mussa OFFICIAL_PRINCE_HAFIDH🤴🤟🌍🇧🇷🇧🇷

IRAN 🇮🇷 kupitia Ukurasa wa Operation True Promise 4 wamepost kuwa huo ndio Ujumbe wa Maridhiano na ndio unaondoka kuelek...
23/03/2026

IRAN 🇮🇷 kupitia Ukurasa wa Operation True Promise 4 wamepost kuwa huo ndio Ujumbe wa Maridhiano na ndio unaondoka kuelekea kufanya maridhiano mengine yenye tija.

Sasa Orodha ya Wajumbe ni Majina ya Makombora yao.

IRAN YAKANUSHA KUFANYA MAZUNGUMZO NA TRUMP, WASEMA USIKU WA LEO ‘MARIDHIANO’ YATAENDELEA ANGANI. Tehran, Iran 🇮🇷 Wizara ...
23/03/2026

IRAN YAKANUSHA KUFANYA MAZUNGUMZO NA TRUMP, WASEMA USIKU WA LEO ‘MARIDHIANO’ YATAENDELEA ANGANI.

Tehran, Iran 🇮🇷

Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imekanusha kufanya mazungumzo yoyote na Marekani na alichokiandika Rais wa Marekani wanadai sio cha kweli, Iran wanasema hakuna maridhiano yatafanyika bila wao kutimiza malengo yao ya kivita.

Aidha Iran inasema wanaelewa mbinu za Trump kujaribu kushusha bei ya mafuta lakini pia kupata muda wa kujiandaa Kijeshi kitu ambacho wao hawatompa nafasi hiyo zaidi ni kuwa wataendelea kushambulia.

Wizara inasema maneno ya Trump ni kumeza Matapishi yake mwenyewe ila kwa upande wao hakuna chochote kilichobadilika na Mlango Bahari wa Homuz utaendelea kufungwa kwa wote ambao wapo upande wa Marekani pamoja na Marekani yenyewe.

Wakati hayo yakijiri ukurasa rasmi wa Operation True Promise umechapisha kuwa Mazungumzo ya Amani yataendelea kwa Makombora usiku wa leo.

TRUMP AAHIRISHA MASHAMBULIZI DHIDI YA IRAN KWA SIKU 5Rais wa Marekani Donald J. Trump ametangaza kuwa Marekani na Iran z...
23/03/2026

TRUMP AAHIRISHA MASHAMBULIZI DHIDI YA IRAN KWA SIKU 5

Rais wa Marekani Donald J. Trump ametangaza kuwa Marekani na Iran zimefanya mazungumzo yenye mafanikio kwa siku mbili mfululizo, yakilenga kumaliza kabisa uhasama uliopo katika eneo la Mashariki ya Kati.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mazungumzo hayo yameelezwa kuwa ya kina, yenye kujenga na yenye mwelekeo mzuri, huku yakitarajiwa kuendelea kwa siku kadhaa zijazo ili kufikia muafaka wa kudumu.

Kutokana na hali hiyo chanya, Rais Trump amesema ameagiza kuahirishwa kwa mashambulizi yoyote ya kijeshi yaliyokuwa yapigwe dhidi ya miundombinu ya nishati ya Iran, ikiwemo vituo vya umeme, kwa kipindi cha siku tano.

Amesisitiza kuwa uamuzi huo unategemea mafanikio ya mazungumzo yanayoendelea, huku akionyesha matumaini ya kupatikana suluhisho la kudumu kupitia njia ya diplomasia.

Waziri Mkuu wa Israel 🇮🇱 Benjamin Netanyahu ameonekana tena hadharani leo Machi 17, 2026 akiwa pamoja na wananchi katika...
16/03/2026

Waziri Mkuu wa Israel 🇮🇱 Benjamin Netanyahu ameonekana tena hadharani leo Machi 17, 2026 akiwa pamoja na wananchi katika moja ya maeneo ya kijijini nchini humo.

Kuonekana kwake kunakuja siku chache baada ya kusambaa kwa tetesi kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa huenda kiongozi huyo amefariki au video zake zinatengenezwa kwa kutumia teknolojia ya Akili Bandia (AI).

Baadhi ya watu mitandaoni bado wanaendelea kutilia shaka video zake wakidai huenda ni deepfake, ingawa maafisa wa Israel wamesisitiza kuwa video hizo ni halisi.

Je, bado unaamini video zinazozunguka mtandaoni ni za AI au unaamini kabisa kuwa Netanyahu bado yuko hai?

Fungua comment kuangalia Video 📹

Kuna kitu nime tafakari nimecheka sana hawa ndugu zetu maamuma wanaosema hii ni video ya kutengeneza ya AI na ni ya mwak...
16/03/2026

Kuna kitu nime tafakari nimecheka sana hawa ndugu zetu maamuma wanaosema hii ni video ya kutengeneza ya AI na ni ya mwaka 2024 , Ila cha ajabu kwenye hii video waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ana ongelea mashambulizi ya Israel kwa Iran .Na namna wanavyomtakia yeye kufa na Israel inavyofanikiwa kwenye vita hivyo na hapo ndipo nagundua hawa ndugu zetu uwezo wao wa akili upo chini mno , Yani video ya 2024 iongelee vita ya 2025 na bahati mbaya zaidi hakuna hata mmoja kati yao anayesh*tukia juu ya jambo hilo . Na hapo ndipo najua ni kwanini Bwana wetu Yesu Kristo alisema mshike sana elimu usimuache aende zake kwa maana yeye ni uzima wako Naaam

16/03/2026
R.I.P NETANYAU 🫣🫣NGUMU KUKUBALI ILA UKWELI, Waziri Mkuu wa Israel 🇮🇱  Netanyau ni kweli Ameuwawa nakubali Bila Mashaka y...
15/03/2026

R.I.P NETANYAU 🫣🫣
NGUMU KUKUBALI ILA UKWELI,
Waziri Mkuu wa Israel 🇮🇱 Netanyau ni kweli Ameuwawa nakubali Bila Mashaka yeyote Ile.
Ninafuraha kubwa mno Maana katika Mawaziri Waliuwa na kuonea Watu pale Israel ni huyu Namba Moja wao,
Baada ya Shambulio lilofanywa na Jeshi la Iran 🇮🇷 Kwenye Handaki Hadimu na Iliyoamika kuwa ndio ilikuwa Tumaini ya Netanyau basi Hapo ndio Roho yake ilipotwaliwa na Kaka yake wa damu.
Siku ya Tukio Usiku Taarifa za kifo chake kilipostiwa na Mkuu wa sasa Iran 🇮🇷 na Purtin, Rais wa 🇨🇳, na Kim Jong Un wa Korea Kaskazini,
Hadi sasa Ndani ya Page ya Jeshi la 🇮🇷 Iran kumeshaanza kuvuja Video na picha ya mwili NETAPAKA😁😆,,
Waisrael wa Buza kwa MAMA KIBONGE Povu Ruksa sasa.
Auwaye kwa Upanga Atakufa kwa Upanga hii Mwaka 2026 ni Mwaka Visasi kweli hasa Nazidi kuthibisha.
Kwa hiyo Vita ya Israel +Marekani na Iran 🇮🇷 Imeshatafuna Viongozi Wakongwe Wawili waliokuwa Dira ya Mataifa hayo,
Na wote wamezimwa ndani ya Mahandaki,
Japo Baadhi ya vyanzo vya Habari Vinanadi Mzee Madevu Khaminei Hajafa bali ni Majeruhi 😑 na Anatibiwa 🇨🇳 kwa sasa.
((NINI MAONI YAKO🤪🤪🤗🤗))

Wakali wa hizikazi
03/01/2026

Wakali wa hizikazi

Simba SC Tanzania
03/01/2026

Simba SC Tanzania

Address

Mjini Magharib
Zanzibar City
U*I

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hafidh Mussa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share