02/03/2026
ANAANDIKA ALLY KAMWE.
Kwanza ilikuwa OFFSIDE.. Pili, AKASHIKA. Move ikaruhusiwa kuendelea k**a hakijatokea kitu.
Sitaki kabisa kukumbusha kuwa Mchezaji huyu alitakiwa kufungiwa MECHI 5 kwa kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa Dodoma Jiji โฆ
Sitaki kuwakumbusha, kuwa Waamuzi walishatishiwa kufungiwa Maisha kimpira na kupelekwa JELA kuhusu mechi hii
Turidi uwanjani, Watu hawa baada ya mazoezi ya mwisho siku moja kabla ya mchezo, wakagoma kuondoka uwanjani Usiku.. Wakafanya Ushirikina na vurugu za kila aina.. Wakaja kutolewa kwa msaada wa Polisi
Hawakumaliza, Siku ya mechi wametumia mlango wa VVIP kuingia uwanjani. Wakavunja mlango wa chumba cha Waandishi wa Habari
Muda wa Pitch Feeling, wakautumia kuzunguka uwanja na kufanya vitendo vya Kishirikina bila wasiwasi wote
Hapa Najaribu kuwaonyesha kwa uchache tu NGUVU iliyotumika hadi Makolo wamepata POINTI 1 kwenye Derby
Kimsingi, kwa mtu anayejua Mpira vizuri atakubaliana na mimi.. JANA SIMBA wamethibitisha ni WADOGO SANA KWA YANGA na watatumia miaka mingi sana kuja kushinda Derby
Nguvu yote kubwa sana Ilitumika ndani na nje ya uwanja haijaweza kufuta Uteja wao. Wana kikosi chenye wachezaji machachari na Viongozi wenye mihemko
K**a isingekuwa mambo ya kupelekana JELA, ikapigwa FAIR, Prince Dube angewaweka ile chuma ndio mngeona mengi zaidi jana..
Wanazuga Kulalamika na kutukana watu leo ili kuficha Vitu vya hovyo walivyofanya na Wameshindwa kupata Ushindi .. Hii inawauma sana
KULIWA MARA 6 Imebaki pale pale na POINTI 5 ZIMESIMAMA VILEVILE ๐๐๐๐ฝ๐๐ฝ๐๐ฝ